Na si muongo tu bali ni juha kabisa wabunge wa Ccm ndiyo wanoishi dar hiyo ni toka zamani mpaka sasa ndiyo maana hata nyumba tu hawana hapa Iringa tofauti na Msigwa hajawahi ishi dar kama ambavyo wamekudanganya waliokwambia
Kama kweli mbowe kaenda na jina la Msigwa mfukoni mie naona kufanya poa sana kwa kuwa angeshinda Sosopi mngesema si mnaona tuliwaambia chama cha watu wa kaskazini hiki maana nyie magamba akilizenu mbovu sana naona huwa mnatumia makamasi badala ya ubongo kufikili
Umenifurahisha sana ulipo Sema anapambana na mafisadi ikiwa leo hii lile gazeti la Lumumba limesema mahakama ya kushugulikia mafisadi haifanyi kazi sababu mafisadi hakuna sasa hoa mafisadi mmepambana nao wapi???
Mtu anauliza kama mtoto mawazo zile ahadi za kusomeshwa zimetekelezwa kwani alishakuja kukuomba ada? Mbona huulizi zile million 50 kama zishafika huko mitaani?
Kuna kipindi nikasikia dangote amesimamisha uzarishaji kwa muda sababu ya matengenezo
Baadae tena nikasikia anataka gasi bure tena nikasikia ananunua makaa ya mawe toka south Africa wakati sisi hapa tz tunayo.
Sasa hivi tena nasikia porojo nyingine hapa sijui halipi vizuri? Kesho tutasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.