Recent content by nyembela

  1. nyembela

    PreGE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

    Chadema wametimiza wajibu wao wakutuonesha wahariri niwatu waaina gani ktk hii nchi, wakati mafanikio ya uwazi ukweli na uwajibikaji duniani kwakiwango kikubwa yanaletwa na waandishi wa habari,wasomi na wafanyakazi hapa kwetu nikinyume chake, hicho wanachokifanya wahariri wanadhihirisha uhalisia...
  2. nyembela

    Kwa mantiki hiyo Rais Samia anasema, Kikwete aliwaburuza wananchi alipoanzisha mchakato wa Katiba mpya bila kuwapa elimu ya Katiba

    Kwani hii katiba ya sasa ambayo inatumika kuna watanzania walitoa maoni au walipewa elimu, vyovyote iwavyo wanasiasa ni watu na chama cha siasa niwatu, dini ni imani zawatu na viongozi wadini wanaongoza watu hivyo kama unataka kupeleka elimu au ujumbe kwa wananchi wanapatikana wakiwa na vyama...
  3. nyembela

    Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

    Nabado tutashuhudia mengi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nyembela

    Oparesheni 255 yateketeza CCM Musoma Mjini bila huruma yoyote, imezikwa rasmi

    Wanachosahau kwamba sasa hivi watu taarifa zote wanapata viganjani hawana muda wakusubiri saa2 hayo ma TV yao watu wanaangalia ottoman katuni nk na kitu pekee wasichojua smart zimeenea sana vijijini kazi wanayo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. nyembela

    Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

    Uisilamu una viongozi wengi wasomi tatizo nimfumo wa upatikanaji wao siku waislamu tukiamua kuutafsili uislamu kuwa ni dini ya haki basi haya malalamiko yataisha,maana hakuna adui wa uisilamu nje ya uislamu,,
  6. nyembela

    Serikali baada ya kukutana na viongozi wa dini ilitakiwa irudi tena kuwapa mrejesho mapendekezo yao Serikali imefikia wapi

    Wanafata nini makanisani namisikitini kama hawawajibiki huko? dini niimani zawananchi na serikali niyawananchi bado unadhani haiwajibiki kwao? Umewahi jiuliza kwanini Rais muisilamu anaingia kanisani au Rais mkristo kuingia msikitini? wanaenda kwa wananchi waliompa mamlaka yakuongoza haendi...
  7. nyembela

    Tanzania unaweza kusema uongo hadharani na usiwajibike popote. Sheria ya kulinda maadili itungwe

    Unakuta mtu huyo huyo leo anasema hili kesho ikibainika amedanganya anasema tena uongo kwakubadiri maneno yake mwenyewe na bado mtu huyo kama kiongozi haoni Kama kudanganya nikukosa staha,,
  8. nyembela

    DP World hawawekezi bandari zote, tusimmezeshe maneno Chongolo!

    Kwahiyo wamebinafsisha au wanaendeleza kama ilani ilivyotamka?
  9. nyembela

    Chongolo: Mradi wa bandari ni wa CCM sio mtu mmoja

    Yupo sahihi nimradi wao ndomana kule bungeni mbunge mmoja akasema asiyeutaka huu mkataba ahame ccm,, kwahiyo huu nimgogoro wa watanzania na ccm maana hii inchi sio yawana ccm niya watanzania, lakini chakujiuliza mbona wameutekeleza huu mradi kinyume na Ilani yao? Chakushangaza wanainukuu ilani...
  10. nyembela

    Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

    Sasa kwanini mlipeleka makubaliano bungeni badala ya mikataba?
  11. nyembela

    Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

    Jamani spika alisha toa ufafanuzi bungeni kuwa,kwa mujibu wakanuni za bunge wao wanachopaswa kujadiri na kupitisha ni mikataba,naakakazia serikali wanachopaswa kuwapelekea ni mkataba nasio makubariano,naakamaliza kwa kusema kwahiyo tulionao hapa nimkataba.
  12. nyembela

    Tetesi: Kumekucha: 'Kelele' za watanzania zawafikia DP World, watuma maofisa wao kujiridhisha

    Kwanini kusiwe na mjadara wa wazi wamajadiriano ya vifungu vinavyolalamikiwa? Tena sisi wenyewe yani watanzania wawe wanasheria nguli wamaswala ya mikataba.
  13. nyembela

    Sakata la bandari CCM na Serikali yake inapaswa kubeba lawama

    Nambaya zaidi wanaoiba wanawajua maana wanasema ndowanaokataa Mkataba wa DPW,,
  14. nyembela

    Wapinzani pelekeni hoja nzito kwa wananchi, sio blaa blaa za Bandari

    Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala...
Back
Top Bottom