Recent content by nyavalungu

  1. N

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    Kuna ukweli kiasi katika hili, ila ngoma Njombe ipo, Iringa hasa Mufindi ipo. Njombe kwa idadi ya watu ukilinganisha na Hospitali zilizopo pale, ni rahisi kupata takwimu sahihi. Kumbukumbu zote zinaonyesha wadau wote ni wakazi wa Njombe. Kuna habari nyingine isiyosemwa, watu wa Njombe...
  2. N

    Tuache maneno tuweke ushahindi, njaa hii hapa shibe hii hapa

    Leo nimenunua kiloba kilo 25 kwa Tsh 35,000/ pale Mkuranga. Maana yake kilo Tsh 1,400/. Hapo usafiri upo vizuri, je ndani ndani hali ikoje?
  3. N

    Dr. Magufuli katika ubora wake Mwanga na Same, apokelewa na mamia kwa maelfu ya watu

    Hata lako lipo mbinguni na duniani, sijui yapo ktk kitabu kipi?
  4. N

    Mheshimiwa kakatwa jina aisee

    Mbona wote wamenyoa vipara, hakuna hata mmoja mwenye nywele ndefu, ilikuwaje hawa waombolezaji wakajikuta wana vipara !!!!!!!!!!!!
  5. N

    Viwanja vilivyopimwa Mafinga

    Toa maelezo yaliyojaa kwenye tangazo lako. Je ni Kinyanambo ipi? Umbali toka barabara kuu ni mita ngapi? Vina ukubwa gani kwa mita za mraba? Ni vya makazi au biashara? Mengine ongezea ili biashara inoge.
  6. N

    Yajue majina ya watangaza nia wawili wa Urais wa CCM

    Mkuu unapotaka kuwa kiongozi wa jamii, wananchi watataka kujua hata idadi ya vidole vyako mguuni kama viko vyote, maana wewe ndio kioo chao. Tutajua hata padre aliyembatiza, maana yote haya ni makando kando yanayoongozana na nafasi anayotaka ili historia iandikwe vizuri.
  7. N

    Wawekezaji sekta ya mafuta na gesi wameweka mpira kwapani

    Ngoja niwape source ya Kibongo. Wafanyakazi wa TPDC wa kiwanda kipya kilicho/kinachojengwa songo songo wamerudishwa nyumbani kwao kama miezi miwili iliyopita. Kiwanda hakina gesi ya kuchakata. Yaani hakuna gesi iliyounganishwa toka kwenye visima. Kama unataka maelezo zaidi, nenda tpdc watakupa...
  8. N

    KKKT yatishia kususia kura ya maoni ya Katiba

    Yuko sahihi kabisa, ktk biblia kumeandikwa, "ole wake anayekaa ktk mabaraza ya mizaha", nimesahau kifungu kilipo, anayejua kilipo atuwekee hapa. Askofu ameona huu ni mzaha, na amewaambia waumini wake wasishiriki mizaha kama huu sababu ni chukizo kwa Mungu. Unajua wazi kwamba kura itaibiwa, na...
  9. N

    Shamba la kupanda miti ya mbao/nguzo za umeme linauzwa - Iringa

    Bora niwe mtazamaji, ktk hili nimeridhika kuwa mtazamaji. Kuna jamaa yangu kachoma mafuta mpaka Mufindi kufuata shamba kama wewe ulivyotangaza, kufika kule hadithi ni tofauti,yy anataka eka 100, anaonyesha eka tano. Ndio maana nilitaka kujua ni kijiji gani ili nisilipate alilopata jamaa yangu.
  10. N

    Pita hapa kutana na vijana wa Jamiiforums wanaokuhitaji kiuchumi

    Kumbe ndio nyie niliowaona pale Ludilo njia ya kwenda mashamba ya chai !!!!
  11. N

    Majambazi yavamia kituo na kuua polisi wawili Ikwiriri Rufiji

    Jamii ina hisia, juzi hapa taifa zima limeshuhudia serikali ilivyo dhaifu,nitatoa mifano michache, yule jamaa wa twiga si katoroka mikononi mwa polisi, twiga si walisafirishwa mchana kweupe. Kinachopatikana kwenye madili kama haya ndicho kinazalisha polisi wasio waadilifu,maana anaona bosi wake...
  12. N

    Majambazi yavamia kituo na kuua polisi wawili Ikwiriri Rufiji

    Hata yule polisi aliyeshiriki mauaji ya vijana wafanyabiashara wa madini Mahenge hajapatikana mpaka leo. Jamii imefikishwa hapa na polisi wenyewe. Polisi hawaaminiki kabisa. Inapofikia polisi kutangaza zawadi ya kumkamata mhalifu maana yake nini? Si kuna wakati jamaa waliiba fimbo ya dhahabu...
Back
Top Bottom