Recent content by nyatidume

  1. N

    Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

    Hahahahahahah"...".. Umenichekesha Ajabu
  2. N

    Vijana wa Arusha: Ukiisaliti CHADEMA utapigwa tu!

    Nimeshangazwa na wanaoshabikia kuvunja sheria. Ndio Imani ya Agano la Kale? Jino kwa Jino? Hebu fikiria Siku mtithibitisha viongozi wa kuu nao ni wasaliti? Mnatutisha wapenda Amani, demokrasia na waheshimuo utu.
  3. N

    Walimu Dodoma kuandamana kesho

    Waalimu wote wa secondari waliosimamia mitihani ya kidato cha pili wamejipanga kuandamana Kesho kuelekea manispaa kwa DED kudai Malipo yao ya kusimamia mitihani. Pamoja na kufanya kazi bila Malipo lakini hata Malipo yalipoanza kutolewa Leo, DED amekata kila mwalimu elfu kumi na elfu ishirini ya...
  4. N

    Songea; Askari polisi awekwa mahabusu akipakaziwa tuhuma za kuifadhili CHADEMA

    Kila jambo lina mwisho. Watasingizia tembo, twiga n.k lakini wakati umefika Taifa hili kukombolewa.
  5. N

    JK awakuna viongozi wa dini katiba mpya

    Dini inavyoendelee akutaumika Kama ngazi ya wanasiasa. Katiba Mpya inaweza patikana lakini Kama haitafuata misingi ya uzalendo kwanza, tutafika papaya Kama Taifa. Hawa viongozi wanaweza kujitofautisha vipi na wanasiasa SA Leo?
  6. N

    JWTZ wadaiwa kuchoma nyumba 100

    Watanzania pamoja na utendaji mbovu wa baadhi ya viongozi, tukubali kufuata sheria.
Back
Top Bottom