Nimeshangazwa na wanaoshabikia kuvunja sheria. Ndio Imani ya Agano la Kale? Jino kwa Jino? Hebu fikiria Siku mtithibitisha viongozi wa kuu nao ni wasaliti? Mnatutisha wapenda Amani, demokrasia na waheshimuo utu.
Waalimu wote wa secondari waliosimamia mitihani ya kidato cha pili wamejipanga kuandamana Kesho kuelekea manispaa kwa DED kudai Malipo yao ya kusimamia mitihani. Pamoja na kufanya kazi bila Malipo lakini hata Malipo yalipoanza kutolewa Leo, DED amekata kila mwalimu elfu kumi na elfu ishirini ya...
Dini inavyoendelee akutaumika Kama ngazi ya wanasiasa. Katiba Mpya inaweza patikana lakini Kama haitafuata misingi ya uzalendo kwanza, tutafika papaya Kama Taifa. Hawa viongozi wanaweza kujitofautisha vipi na wanasiasa SA Leo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.