Recent content by NYATI NYAKORO

  1. N

    Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

    Ni ushauri mzuri ila kuoa mwanamke mwenye mtoto kunachangamoto zake,kama uchumi mzuri hakuna shida.Kwa mfano unaoa mama mwenye mtoto miaka saba mwanzoni huku hakuna shida ila mwishoni unapokuwa mzee ndiyo changamoto na huyo mke kama hana hekimu utapata shida sana,labda huyo mtoto awe wa kike...
  2. N

    Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

    Ni ushauri mzuri ila kuoa mwanamke mwenye mtoto kunachangamoto zake,kama uchumi mzuri hakuna shida.Kwa mfano unaoa mama mwenye mtoto miaka saba mwanzoni huku hakuna shida ila mwishoni unapokuwa mzee ndiyo changamoto na huyo mke kama hana hekimu utapata shida sana,labda huyo mtoto awe wa kike...
  3. N

    Naomba uzoefu wa maisha ya Uganda

    Nilifika 2016 kampala ni sehemu nzuri kumechangamka kwa biashara pia wafanya biashara wapo makini,harafu ule mpango wa kariakoo lete hiyo nijalibu bila kununua hawapendi.Kwa yote watu wanaheshimiana,ila kama mpenda starehe watoto wa kumwaga.
  4. N

    TCRA: Laini zote za simu zitakazotolewa kuanzia Julai 1 zitakuwa na Neno la siri, Mteja atatakiwa kulibadili ili kutumia laini mpya yenye usalama

    Kwa maana nyingine Tcra watakuwa wametusaidia kulinda mizozo ya nyumbani ukiulizwa unajibu kwa msaada wa tcra hizi passwird.
  5. N

    Waziri Jafo aagiza Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime kusimamishwa kazi kwa kusafirisha mwili wa mtumishi juu ya carrier ya gari

    Hapo inawezekana kaimu mkurungezi alishauliwa harafu akakata ushauri wa kwamba viti vifunguliwe ili mwili ukae ndan,kosa lake ni kufunga juu ya gari wakati ndani ungewezekana kuingia ndani ya gari.
  6. N

    Mama yangu ana matatizo sana, anavuruga familia yetu

    Pole sana ndugu ila siku moja unafunga safari mpaka hapo kwa bibi na mama na kukaa naye mama muekeze kwa utaratibu,njinsi gani unakosa furaha ya kutoelewa naye.Huyo ni mzazi wako huwezi kumkata ila unakwenda kwa ghafla bila taarifa ili asijipange ila wewe tu bila mke na mtoto kuweka sawa mambo...
  7. N

    Mara: Watu wanne washikiliwa kwa tuhuma za QNET

    Kuna dada mmoja tunajuana muda mrefu akanambie ana jambo anataka kunishirikisha niende ofisini kwao,basi siku nikaenda pale kufika pale napewa maelezo ya Qnet na mtu mwingine pale kama muelimishaji akanambia blabla kibao za Qnet na salam zaó. Muelimishaji ananieleza mambo mazuri tu nikamuuliza...
Back
Top Bottom