Nimekusikia mama mwaswast mrembo nimemaind jina tu ni hivi mrembo hizi chart kama sijakosea zimepangwa na super power nation mahusiano na kutrade nao ni moja ya fact tu nilizotaja ziko fact nyingi za wazi na za siri Ethiopia huwezi jua mahusiano yao ya siri na wapabgaji hizo chart ok na jua...
Rudi hadi miaka ya 70 Uganda ilikua juu sana kijeshi kuliko sisi ila kilichowatokea hadi Leo ni historia hizo chat zisikutishe zinapangwa na wazungu kutegemea umefanya nao biashara kiasi gani au unamahusiano mazuri kiasi gani nao
OK tayari umeshawachafua wanajeshi wetu afu nahisi were utakua polisi tu unataka wanajeshi watolewe pale muendelee kupiga madeal manake wajeda wanawavurugia sana hawatolewi pale
Mwaka huu mtashudia ccm inavyopasuka vipande viwili mamvi anaondoka na nusu ya ya mataycoon kuanzisha chama kipya endapo mazungumzo na ukawa yakiferi kumbuka ukawa bado hawajatangaza mgombea wao kinachooendelea Dodoma kinawahusu sana kwa kuanzia kuna gari 60 zimeagizwa na timu mamvi kabla ya...
Sayansi imethibitika haiwezi kuprove kila kitu. MF mchekue Dr bigwa was watoto akizaa mtoto mwambie aachie kitovu kidondokee Yale maeneo hakubali au we we muumini wa sayansi jaribu hii kitu uje na majibu ya kisayansi. Sayansi sio kila kitu
Sasa nijikite vipi ktk topic ambayo imeandikwa kilayman kama hii ndugu nitonye unahitaji kudoble check sio kila elim unayopata mitandaoni in sahihi maana wengi wanasema eti ni mada nzuri bila kujua alieileta anauelewa gani juu ya hiki
Ila kuna jamaa hapa kaleta mada ya nyuklia yule kweli in mtalaam wa atomic kwa jinsi anavyoelzea mada kitaalamu kumbuka hili jukwaa watu hujifunza let's mada zenye TBS kukuongezea knowledge njoo inbox nikupe kidogo tu afu kama ukipenda utakuja kumwaga jukwaani au utabaki nayo kwa faida yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.