Recent content by NYANYADO

  1. NYANYADO

    Nape Moses Nnauye hakuna unachokifanya, mitandao ya simu inafanya wizi as if hawana regulatory aithority

    Kuna shida Sehemu. 1. Nilijiunga Kifurushi cha Kuzuru nchi za Falme za Kiarabu , nilifanikiwa kuongea kwa Siku moja tu , zilizofuata ilikuwa ni chenga simu hazitoki hadi nikarudi nchini pasipo kufurahia huduma niliyolipia. 2. Hii imekuwa ikijirudia , Ukituma pesa kwenda mtandao flani hazifiki...
  2. NYANYADO

    Dubai wakumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha

    Sijui ila . Juzi kati nimeona Ford Super duty. Pale mitaa ya Kalakata Airport. Ila pia kuna hii gari inaitwa Honda Pilot. Nalo limesimama kulia bata kibongo.
  3. NYANYADO

    Dubai wakumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha

    Nisamehe mkuu Maghayo kwa Kukusahau. Ila nyie pale Palm tayari mlikwishajipata mnaishi pepo yenu . Kimbembe ni huku uswekeni kwa Wa Pakstani , Wafilipino, Nepal na Wahindi , wa nigeria, Waganda. Mwenyezi MUNGU awanusuru.
  4. NYANYADO

    Dubai wakumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha

    Natoa Pole kwa Jamaa zangu pale Sharjah, Deira Union , Al sabkha, Gold Souq Gate no 2& 3, Silver Touch, Al madina , Al coniche, Al yazia Plaza, swahili Restaurant, Bila kusahau wapambanaji wote Pale Dubai Mall
  5. NYANYADO

    Epoxy Floor, Material ya Epoxy, Waterproofing

    Gharama yake kwa Sq metre
  6. NYANYADO

    Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors

    Ok, Mwenyezi MUNGU akijalia tunakuja
  7. NYANYADO

    Kupatwa kwa jua Jumatatu 8 Aprili 2024

    Sawa na Saa moja jioni mida ya Afrika mashariki?
  8. NYANYADO

    Toyota Landcruiser hardtop ya mwaka 2015 inauzwa

    Hii pale Toyota Dar mpya ni 164M
  9. NYANYADO

    Plot4Sale Kiwanja Nyashishi, Mwanza

    Mbona hapo pembeni kuna dimbwi. Pia kona ya kushoto imepinda
  10. NYANYADO

    Uchimbaji wa visima mashambani kwa ajili ya umwagiliaji

    Kutokana na watu kususia Dola kisa BRICS . Mie juzi nimewalipa milioni 32 kunichimbia kisima hapo Mlndizi
  11. NYANYADO

    Nini sababu za mijimama kupendelea vijana?

    Chochea moto mkalipuke wote
  12. NYANYADO

    Airtel kwenye bando ni wezi wasio na aibu. Nnape hawezi kutusaidi, tufanyeje?

    Wizi sio tu, mpaka uweke bundle. Hata ukiweka Bundle alafu usifaidi kile umelipia nao ni wizi.
Back
Top Bottom