Recent content by Nyanokwe96

  1. N

    Ni sahihi kuwapiga picha watu wanaopewa msaada kidini?

    Kwan we hujui kua mtume alicopy Biblia
  2. N

    Natafuta kazi ya ualimu wa shule binafsi kwa masomo ya Physics na Mathematics kwa ngazi ya O-level

    Hellow naomba namba yake huyo head master mm nahitaji nitumie 0765261930
  3. N

    Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

    Ilivyokua mwaka wa mwisho chuo semister ya pili niliwekeza au niseme niliingia nao mkataba wa kulima nikatoa 2600000 kwa ajili ya kulima heka mbili za tikiti maji nikitegemea faida sasa mpaka saivi naona kimya nimejaribu kufatilia kwa wafanyakazi kwa kuwapigia simu wanasema walipata hasara na...
  4. N

    Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

    Ilikua mwaka gani mkuu make mm niliwekeza hela nyingi na mkurugenzi amekimbia ofisi zao hapa dar wamefunga
  5. N

    Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

    Kuna mtu unafaham alieingia nao mkataba unipe mawasiliano tukaifungulie mashtaka mahamani mkurugenzi kakimbia
  6. N

    Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

    Nmeishalia niliwekeza kwenye hyo salvation farm tokea mwaka Jana wameisha kimbia na hela zetu na Ni kampuni iliyosajiliwa
  7. N

    Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

    Ni kampuni inayojihusisha na kilimo makao makuu yapo mbinga Ruvuma unaweza ukaeapa pesa wakakulimia mnaingia mkataba sasa nilikua nauliza Kuna mtu anaijua au ameisha fanya hivyo mm Ni mmoja wapo ambae nmewekeza
  8. N

    Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

    Habari wanaJF, nauliza Kuna anayeifahamu hii kampuni au alishawahi kuwekeza tufahamiane.
  9. N

    Inaumiza sana Mtoto wa Masikini anapokosa Mkopo wa Elimu ya Juu

    Umeandika bila kufikiria hivyo vyuo vya serikali vitatosha kudahili wanafunzi wote nchi nzima ili wapate mkopo
Back
Top Bottom