jamani mie nawaombeni tu kama kuna mtu anaeweza kusimamia ili nisome nimalize anisaidie jamani kwa makubaliano ya maandishi pindi nikipata ajira mie nitarejesha pesa yake na riba na vyeti atakua amevimiliki yeye jamani
jaman utatima ni tauchukia milele daima mpaka sasa najiandaa kuacha masomo niliokua nikisoma katika chuo cha afya kwa sababu sina wa kunilipia karo ili nindelee na masomo daaa bora ningeli fariki mimi alie ni zaa abaki mpaka sasa nashindwa la kufanya nianzie wapi niishie wapi sina hata senti mia...
ndugu zangu kile kibarua ambacho nikua nafanya kilikua ni cha tobacco ilikua ni kazi ya msimu sasa ilivo isha ile pesa nilio kua nimeipata ikabidi nijipeleke shule kumbe ni bora ningeliacha tu nikafanya hata biashara yasingelinikuta haya
transporter nashukuru kwa ushauri ila kwa jinsi nijisikiavyo mpaka sasa natamani tu nipate hata ajari ya gafla ili nife niondokane na hii hali hata niwapo darasan nikikumbuka hali yangu najikuta naanza kufikilia sana jaman mungu huyu mniombeeni anipunguzie adhabu sasa hii naona imenizidi jamani
jamani mmenishauri lakin kwa jinsi moyo wangu nilivo lipokea hili swala nashindwa hata kuonge japo nijielezee hali yangu coz najikuta nalia tu paspo kuongea kitu kama leo nimeenda kumueleza kiongozi mmoja wa halimashauri nimeshindwa kuongea yaan jaman achen shida hizi bas tu nibora ningeli...
Hizo rupia kuna mzee mmoja ivi anazo kama sita nimeziona mm kwa macho yangu huyo mzee anaishi serengeti katika kijiji cha nyansurura karibian na mto mara
Dah kumbe ni vya muhim hivo vitu huku serengeti kijiji cha rung'abure kwenye mlima wa hapa rung'abure hivo vitu vipo sana coz watu walisha jaribu kuvichimba inashindikana mala wakutane gesi inayo babua na kuota mapele makubwa mala maji yana bubujika mala linyoka so watu washa ogopa hata...
Jamani habarini za saizi,
Mimi naitwa Revocatus ni kijana mwenye umri wa miaka 25 bahati mbaya toka kuzaliwa nilikua nikiishi na mama nilie mjua kua ndie mama yangu mzazi kumbe sivyo jamani ninaumia sana baada ya kuujua ukweli baada ya mwezi mda mfupi ulio pita baada ya mama yangu mlezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.