Mkuu usikate tamaa,shetani asipoivuruga ndoa yako kwa kuwakosesha maelewano,atawavuruga kwa kuwakosesha watoto,kuna kila dalili kuwa uwezekano wa ninyi kupata watoto upo,angekuwa hajawahi kushika mimba kabisa hiyo ndio ingekuwa issue,kazana na maombi sana sana msichoke kuomba kuna vifungo...