Recent content by Nyangwada

  1. Nyangwada

    Tuambie ni ipi chorus bora zaidi ya wakati wote kwenye ulimwengu wa muziki?

    "Sina mashaka na kesho ! Aliyenivusha jana kanifikisha leo atanifikisha kesho".
  2. Nyangwada

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Tuma picha basi niione Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Nyangwada

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nna 400000 nahitaji simu icwe tecno.
  4. Nyangwada

    Enzi za utotoni,chakula gani kikipikwa usiku home kwenu ulikuwa unachukia?

    kipikwe chochote kile lakini mboga isiwe kunde....! dah halafu bi mkubwa aligunduaga yaan kama ni ugali atakukodolea macho mpaka aone tonge lina kunde za kutosha, vivyo hivyo kwenye wali.
  5. Nyangwada

    Ushawahi kujutia kufanya mapenzi au kuwa na mahusiano na mtu? Sababu ilikuwa nini?

    Kuna jamaa mmoja alkua ananifuzia, bac me nikawa navunga zile za kike kike lkn kiufupi nilkua nimemuelewa. Mshikaj kapanda hewan, kajaziaje yaan pande la mtu c unajua tena wasukuma walivyo. Weekend moja nikaenda kumtembelea kwake, kwenye romance mshikaj yupo vzur hatare, imefika kpnd cha kuanza...
  6. Nyangwada

    Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

    nikunywa kiac tu sema kichwa changu kibovu
  7. Nyangwada

    Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

    acha tu aisee! nilijikuta najuta na kuichukia sana pombe
  8. Nyangwada

    Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

    aisee baada ya tukio lile cjanywa tenaa, jamaa mwenyewe alinyosha mikono juu na kunishaur niendelee tu na ulokole wangu.
  9. Nyangwada

    Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

    ha ha ha ha! ni mambo ya aibu sana mkuu, licha ya kupigwa dushe ndani ya gari, kufika home nilifunguliwa na mama, c nikaanza mlazmisha jamaa twende tukaendeleze game ndani huku mama kacmama mlangoni ananisubiri niingie ndani ili afunge mlango.
  10. Nyangwada

    Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

    kuna jamaa alikuaga ananifatilia nikawa namzungusha, basi mwaka jana kwenye siku yng ya kuzaliwa, akawa ameniandalia ki party cha kawaida tu nyumban kwa mshikaji wake. kiuhalisia me c muongeaji, mpole sana. nikaanza kunywa magic moment na nilkua cjawah kuinywa, baada ya muda mfupi unaambiwa...
  11. Nyangwada

    Ndoto: Sehemu muhimu kwa afya ya hifadhi ya akili

    ok! shukran sana mkuu, samahan naweza ipata wapi hii dawa
Back
Top Bottom