Leo ni siku ambayo kampeni nhini Tanzania zinaanza kuelekea uchaguzi mkuu ambao utafanyika tarehe 28 Oktoba 2020. Niwaombe wanasiasa wafanye kampeni za kistaarabu, ni wakati wao wa kuuza sera zao. watueleze ni namna gani wamejipanga kuendeleza na kubuni mikakati mbalimbali ya maendeleo kwa ajili...
Mimi nawashauri Chadema wajifunze kutengeneza viongozi wao wa baadaye. Chadema inatakiwa ijikite zaidi kwenye masuala ya kufundisha itikadi na maadili ya kiuongozi kwa vijana ili baadaye iwe na hazina kubwa ya viongozi. Hii tabia ya kutegemea makapi kutoka vyama vingine ili kugombea nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.