Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,981
- 103,354
Habari yenu inakwisha mwaka huu. Jipange kuhamia act etc
Mimi sio muhamaji wa vyama boss.
Habari yenu inakwisha mwaka huu. Jipange kuhamia act etc
HaswaMkuu ondoa shaka
Mwache aje tuu,Mbona hiyo poa sand,chadema ni chama making kama tulivyokuwa nayo kwenye Ukawa na kina watu making wanaojitambua.Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.
The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.
Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.
According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.
Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.
The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.
Troll JF
Acha kiherehere mwanalumumba, mnakesha mitandaoni kuongopea, CHADEMA ipo imara haitetereshwi na story zenu za kutungwa popoma wwFormer Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.
The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.
Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.
According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.
Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.
The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.
Troll JF
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.
The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.
Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.
According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.
Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.
The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.
Troll JF
Kwanza JPM sio jabali kama unavyombatiza. JPM hajawahi kuwa jabali na hatakuwa jabali! Inaonekana hujui historia ya haya mambo. JPM aliteswa ubunge tu na mkulima huko Biharamulo na salama yake ikawa figisu za kukatwa kwa jimbo ndipo alipopata ubunge. Uchaguzi Mkuu 2015 JPM alikuwa na asilimia 58 ya kura. Usichokijua kwa miaka 5 tangu alipoingia madarakani kumekuwepo na kampeni kubwa ya kutumia media ku brand (kampeni ambayo imewanasa na watu wa aina yako) mkaanza kumwona jabali wakati sio jabali. Utafiti uliofanyika baada ya kuwa Ikulu ulionyesha umaarufu wake ulishuka zaidi, kwa maana ya kwamba hata zile asimilia 58 alizopata kwenye uchaguzi mkuu zilishuka, na ndipo walipowafurusha TWAWEZA na kumbambika kesi ya kutokuwa raia mkurugenzi wake.Waafrica na hasa Watanzania tunashida na tuahitaji msaada
Tunahitaji ukombozi na ukombozi tunaouhitaji sio wa kubadirisha Chama, hiyo haitatusaidia, ukombozi wetu ni akiri ya kuona mbali na kukingojea hicho cha mbali licha ya kwamba kabla ya kukifikia kile cha mbali hapa katikati tunaweza kupitia mateso makali, lakini tu tukipate kile cha thamani kiletacho ukombozi wetu kamili
Mkuu, inaonyesha umesahau tena, 2015 tuliimba nyimbo hizihizi, kwamba hata kule CCM watakuwa wamekichoka Chama Chao, tutamweka Lowasa ilimradi Tu, tunawatoa CCM
Tukaingia ulingoni tukiwa na turufu hiyo ya watu lundo kutoka CCM, lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi
Leo tena unakuja na ngonjera ileile? Hivi mmelogwa? Unamsema Membe, ambaye hata ule umarufu wake haufikii hata robo ya Lowasa?
Membe, hafikii hata umarufu wa Lisu?
Tukijua kwamba kuchukua Dola ni mipango na shabaha mathubuti?
Yesu, Baada ya kufanya huduma yake Kwa muda, aliwauliza wanafunzi wake kuwa, hivi! Watu wananisemaje huko mitaani? Aliuliza hivyo ili kutathimini namna gani jamii inamchukulia,
Inawezekana hata hiyo tathimini nyie hamfanyii kazi mnajiendea Tu kama nyumbu
Membe ni Nani?? Membe mbele ya upepo mkali wa JPM, Mtajiona kama mapanzi mbele ya jabali JPM
Mkuu, Chabusalu, Kwanza asante Kwa uchambuzi wakoKwanza JPM sio jabali kama unavyombatiza. JPM hajawahi kuwa jabali na hatakuwa jabali! Inaonekana hujui historia ya haya mambo. JPM aliteswa ubunge tu na mkulima huko Biharamulo na salama yake ikawa figisu za kukatwa kwa jimbo ndipo alipopata ubunge. Uchaguzi Mkuu 2015 JPM alikuwa na asilimia 58 ya kura. Usichokijua kwa miaka 5 tangu alipoingia madarakani kumekuwepo na kampeni kubwa ya kutumia media ku brand (kampeni ambayo imewanasa na watu wa aina yako) mkaanza kumwona jabali wakati sio jabali. Utafiti uliofanyika baada ya kuwa Ikulu ulionyesha umaarufu wake ulishuka zaidi, kwa maana ya kwamba hata zile asimilia 58 alizopata kwenye uchaguzi mkuu zilishuka, na ndipo walipowafurusha TWAWEZA na kumbambika kesi ya kutokuwa raia mkurugenzi wake.
Nikurudishe kwenye mstari sasa. JPM hakubaliki ndani na nje. Achana na kelele za makundi mawili-kundi la wasio na uelewa wa kutosha, au wanaoelewa polepole ambao wanaona JPM amejenga madaraja ya juu wakati ile ni miradi na maono ya JK, wale ambao wanamwona JPM amejenga uwanja wa ndege terminal 111 wakati yale ni maono ya JK aliyoyakuta. Wale wanaomwona JPM amewafanya wanaume watulipe hela isiyofika kwenye ile ahadi ya kishika uchumba, lakini wasielewe mkataba wenye wa madini imebaki kuwa siri hata wawakilishi wao hawajui...na mambo kama hayo.
Achana pia na kundi la pili, linaloongozwa na akina gavana wa Dar-kundi la watu wanaojilia mpaka kuvimbewa ambalo tayari limempa JPM hadhi ya kuwa yesu.Hawa hawana nguvu yoyote, wenye nguvu ni wale ambao hawataki utawala wa kiimla, unaofanya kikundi kidogo cha watu waamue juu ya taifa hili. Huo ndio mgangano uliopo. Kwahiyo kilichopo hapa sio dhana uliyonayo wewe ya kubadilisha chama, bali ni kuondoa uhuni uliozingira urais...hivyo yoyote anaweza kuongoza vita vya kuondoa wahuni katika utawala wa nchi!
kama ni kweli,Chadema watakuwa wamefanya uwamuzi wa KIPUMBAVU.Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
unamtaka wewe na nani? watu wa kyeboard mnashida sanaHuyo jamaa anacheza mind games, uzi wenye maudhui kama haya uliletwa asubuhi hapa jukwaani kwa lugha ya kiswahili, kisha ukaondolewa. Naona huyu kauleta kwa lugha ya kiingereza, lakini wote wanaoleta uzi wenye maudhui haya ni wanaccm. Bila kujali ni ukweli au uongo. Tunawakanya viongozi wa cdm kutokurudia kosa la Lowassa, kwa utetezi wa aina yoyote ile. Lisu ndio chaguo letu, na iwapo atawekwa jela, ni bora hata tumpigie kura akiwa jela kwa njama za ccm. Tujikite zaidi kudai tume huru ya uchaguzi, kuliko kuokoteza hao wazee wa ccm kwa mtindo ule ule.
unamtaka wewe na nani? watu wa kyeboard mnashida sana
Magazeti ya kujisaidia chooni bwana. Sasa huu utumbo nao mods mmeuacga humu??Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.
The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.
Sources close to both parties told that CHADEMA want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.
According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.
Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.
The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.
Troll JF
A bulk junk of wasteChadema party decision Makers doesn't want a poor candidate like Tundu Lisu for the presidential post!! Take it or leave it
Chadema was started by Rich people not poor people like Lisu
Lisu in chadema he is just a parasite ,consumer of Chadema money not producer or provider!! Ask how much he has contributed to Chadema financially and how much he has consumed!!!
Tundu Lisu is a liability to the party he has consumed more than what he has contributed !!!
BKM can join opposition (CDM) and become a potential figure but not fit for presidential candidateMembe atumike Kama mkakati katika kampeni. Asiwe mgombea.
Akifanya ya 2015 atapiga kura mwenyewe.Anachopanga Mbowe wafuasi hamna la kupinga