Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Mwache aje tuu,Mbona hiyo poa sand,chadema ni chama making kama tulivyokuwa nayo kwenye Ukawa na kina watu making wanaojitambua.
Lowasa alikuja na kaondoka,Sumaye kaja naye kaondoka na wall Chadema haikuyumba.
Tunamshukuru sana Lowasa kwa kutuongezea kura za Uraisi ambazo zimetupatia ruzuku ya kutosha kuendeshea shughuli za chama.
Na yeye Membe Anakaribishwa ,sisi sote ni Watanzania tuna haki ya kuenda katik chama chochote kile tukipendacho bila ya kizuizi ili kushiriki siasa kwa mujuibu wa sheria. Chadema ni njema atakaye na aje. Mbona wengi tuu walituacha njiani na bado tupo poa isiasa hadi wanaamua kutupiga risasi na kutuvunja viungo kwa kipigo, na bado tuko imara? Watatengenez kila aina ya majungu lakini wajue chama ni watu na watuw wetu hasa viongozi wanjitambua na wako makini.
Tatizo la nchi hii ni kutokuwepo ruhusa ya Mgombea Binafsi ,Kama ingelikuwepo ruhusa hiyo nahisi wengi wangelitumia Ushawishi wao kugombea Uraisi bila ya chama. Nadhani huko mbele CCM wanweza kuweka kipengele hicho wakiamini kuwa kitawasaidia kubaki katika dola milele, ikiwa mwaka huu watavuka.

Tuishi kama Ndugu wa Nchi Moja ,tusiwe kama CCM na ubaya wao na hofu ya kutolewa madarakani ,wakiona mtu anawakwaza wanamtimua,na kumyima haki yake ya msingi ya kushiriki siasa nchini.
na wakiona upinzani umeimarika wanatumiahelanyingi na nguvu kubwa ili kudhoofisha.
Wanaogopa mabadiliko.
 
Mimi nawashauri Chadema wajifunze kutengeneza viongozi wao wa baadaye. Chadema inatakiwa ijikite zaidi kwenye masuala ya kufundisha itikadi na maadili ya kiuongozi kwa vijana ili baadaye iwe na hazina kubwa ya viongozi. Hii tabia ya kutegemea makapi kutoka vyama vingine ili kugombea nafasi kubwa za uongozi inashusha hadhi ya chama. Wanachama wa chadema bado wana maumivu ya makosa yaliyo fanyika mwaka 2015 ya kumuunga na kumkaribisha Mh. Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais na kisha baadaye baada ya kushindwa ameachana na chama kurudi kwenye chama chake cha zamani ambacho kilimnyima fursa adimu na yenye heshima ya kugombea Urais.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Acha kiherehere mwanalumumba, mnakesha mitandaoni kuongopea, CHADEMA ipo imara haitetereshwi na story zenu za kutungwa popoma ww
 
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF


This shall never ever come to pass
 
Waafrica na hasa Watanzania tunashida na tuahitaji msaada

Tunahitaji ukombozi na ukombozi tunaouhitaji sio wa kubadirisha Chama, hiyo haitatusaidia, ukombozi wetu ni akiri ya kuona mbali na kukingojea hicho cha mbali licha ya kwamba kabla ya kukifikia kile cha mbali hapa katikati tunaweza kupitia mateso makali, lakini tu tukipate kile cha thamani kiletacho ukombozi wetu kamili

Mkuu, inaonyesha umesahau tena, 2015 tuliimba nyimbo hizihizi, kwamba hata kule CCM watakuwa wamekichoka Chama Chao, tutamweka Lowasa ilimradi Tu, tunawatoa CCM

Tukaingia ulingoni tukiwa na turufu hiyo ya watu lundo kutoka CCM, lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi

Leo tena unakuja na ngonjera ileile? Hivi mmelogwa? Unamsema Membe, ambaye hata ule umarufu wake haufikii hata robo ya Lowasa?

Membe, hafikii hata umarufu wa Lisu?

Tukijua kwamba kuchukua Dola ni mipango na shabaha mathubuti?

Yesu, Baada ya kufanya huduma yake Kwa muda, aliwauliza wanafunzi wake kuwa, hivi! Watu wananisemaje huko mitaani? Aliuliza hivyo ili kutathimini namna gani jamii inamchukulia,

Inawezekana hata hiyo tathimini nyie hamfanyii kazi mnajiendea Tu kama nyumbu

Membe ni Nani?? Membe mbele ya upepo mkali wa JPM, Mtajiona kama mapanzi mbele ya jabali JPM
Kwanza JPM sio jabali kama unavyombatiza. JPM hajawahi kuwa jabali na hatakuwa jabali! Inaonekana hujui historia ya haya mambo. JPM aliteswa ubunge tu na mkulima huko Biharamulo na salama yake ikawa figisu za kukatwa kwa jimbo ndipo alipopata ubunge. Uchaguzi Mkuu 2015 JPM alikuwa na asilimia 58 ya kura. Usichokijua kwa miaka 5 tangu alipoingia madarakani kumekuwepo na kampeni kubwa ya kutumia media ku brand (kampeni ambayo imewanasa na watu wa aina yako) mkaanza kumwona jabali wakati sio jabali. Utafiti uliofanyika baada ya kuwa Ikulu ulionyesha umaarufu wake ulishuka zaidi, kwa maana ya kwamba hata zile asimilia 58 alizopata kwenye uchaguzi mkuu zilishuka, na ndipo walipowafurusha TWAWEZA na kumbambika kesi ya kutokuwa raia mkurugenzi wake.

Nikurudishe kwenye mstari sasa. JPM hakubaliki ndani na nje. Achana na kelele za makundi mawili-kundi la wasio na uelewa wa kutosha, au wanaoelewa polepole ambao wanaona JPM amejenga madaraja ya juu wakati ile ni miradi na maono ya JK, wale ambao wanamwona JPM amejenga uwanja wa ndege terminal 111 wakati yale ni maono ya JK aliyoyakuta. Wale wanaomwona JPM amewafanya wanaume watulipe hela isiyofika kwenye ile ahadi ya kishika uchumba, lakini wasielewe mkataba wenye wa madini imebaki kuwa siri hata wawakilishi wao hawajui...na mambo kama hayo.

Achana pia na kundi la pili, linaloongozwa na akina gavana wa Dar-kundi la watu wanaojilia mpaka kuvimbewa ambalo tayari limempa JPM hadhi ya kuwa yesu.Hawa hawana nguvu yoyote, wenye nguvu ni wale ambao hawataki utawala wa kiimla, unaofanya kikundi kidogo cha watu waamue juu ya taifa hili. Huo ndio mgangano uliopo. Kwahiyo kilichopo hapa sio dhana uliyonayo wewe ya kubadilisha chama, bali ni kuondoa uhuni uliozingira urais...hivyo yoyote anaweza kuongoza vita vya kuondoa wahuni katika utawala wa nchi!
 
Kwanza JPM sio jabali kama unavyombatiza. JPM hajawahi kuwa jabali na hatakuwa jabali! Inaonekana hujui historia ya haya mambo. JPM aliteswa ubunge tu na mkulima huko Biharamulo na salama yake ikawa figisu za kukatwa kwa jimbo ndipo alipopata ubunge. Uchaguzi Mkuu 2015 JPM alikuwa na asilimia 58 ya kura. Usichokijua kwa miaka 5 tangu alipoingia madarakani kumekuwepo na kampeni kubwa ya kutumia media ku brand (kampeni ambayo imewanasa na watu wa aina yako) mkaanza kumwona jabali wakati sio jabali. Utafiti uliofanyika baada ya kuwa Ikulu ulionyesha umaarufu wake ulishuka zaidi, kwa maana ya kwamba hata zile asimilia 58 alizopata kwenye uchaguzi mkuu zilishuka, na ndipo walipowafurusha TWAWEZA na kumbambika kesi ya kutokuwa raia mkurugenzi wake.

Nikurudishe kwenye mstari sasa. JPM hakubaliki ndani na nje. Achana na kelele za makundi mawili-kundi la wasio na uelewa wa kutosha, au wanaoelewa polepole ambao wanaona JPM amejenga madaraja ya juu wakati ile ni miradi na maono ya JK, wale ambao wanamwona JPM amejenga uwanja wa ndege terminal 111 wakati yale ni maono ya JK aliyoyakuta. Wale wanaomwona JPM amewafanya wanaume watulipe hela isiyofika kwenye ile ahadi ya kishika uchumba, lakini wasielewe mkataba wenye wa madini imebaki kuwa siri hata wawakilishi wao hawajui...na mambo kama hayo.

Achana pia na kundi la pili, linaloongozwa na akina gavana wa Dar-kundi la watu wanaojilia mpaka kuvimbewa ambalo tayari limempa JPM hadhi ya kuwa yesu.Hawa hawana nguvu yoyote, wenye nguvu ni wale ambao hawataki utawala wa kiimla, unaofanya kikundi kidogo cha watu waamue juu ya taifa hili. Huo ndio mgangano uliopo. Kwahiyo kilichopo hapa sio dhana uliyonayo wewe ya kubadilisha chama, bali ni kuondoa uhuni uliozingira urais...hivyo yoyote anaweza kuongoza vita vya kuondoa wahuni katika utawala wa nchi!
Mkuu, Chabusalu, Kwanza asante Kwa uchambuzi wako

Uchambuzi wako huu kwangu Mimi naweza kuuita ni uchambuzi usiokuwa na kiini cha kuonyesha udhaifu wa umarufu wa JPm ama pengine unayonia ya kutaka kuonesha udhaifu wa umatufu wa Magufuli Ila umeshindwa, eidher Kwa yeye amekuibia hoja zote ambazo ungeweza kuxibainisha hapa,

Ni kweli, Kwa temu hii ukiambiwa uoneshe udhaifu wa Magufuli, na serikali yake, kinyume na serikali zilizopita ambazo takribani kila eneo zilikuwa zimepwaya vibaya, usipotaja Neno Democrasia pekee, unaweza Anza kutafuta madhaifu mengine Kwa tochi

Ngoja nikurudishe nyuma, uchaguzi wa 2015 ndio ulikuwa uchaguzi mgumu kuliko chaguzi zote zilizowahi fanyika nchini mwetu Chini ya vyama vingi nchini

Sio Siri, Baada tu ya Mh E.lowassa kuondolewa kwenye kinyang'lo cha kugombea Uraisi, CCM iligawika makundimakundi hata kabla E.lowassa hajahamia upande wa pili, iliwapa shida Sana CCM kipindi hicho

Na baada ya maamzi ya Mh lowassa kutangaza kuhamia upinzani, wengi tuliamini huo ndio ulikuwa mwisho wa ccm, CCM washukuru kwamba waliyekuwa wamempitisha kuwa ndio mpeperusha bendera ya Uraisi, alibebwa na sifa zake binafs na sifa zake hizo ndizo zilizoibeba Ccm badala ya CCM kumbeba Magufuli, JPM ndio aliibeba CCM, na ndio maana hata Kampeni zake ilikuwa ( Chagua Magufuli) na si chagua CCM

Maana yake Huyu JpM alijibeba mwenyewe,

Nikurudishe kwenye hoja yako unayomshambulia JPm kwamba, eti alivyovifanya Vyote vilikuwa ni maono ya Jk, wewe unachokisahau ni kimoja tu na sina hakika unakisahau au tu Kwa sababu ya uharaka wa kuona makosa bila kujiuliza ni Nani anastahili kubebeshwa laumu hizo (makosa hayo)

Chama huandaa Ilani ya miaka mitano mitano, na nilazima Wakati wanaandaa Ilani hizo wajiridhishe kwamba zitatekerezwa zote Kwa kipindi hicho cha miaka mitano!!!

Sjui unanielewa, baada ya Ilani hizo kukamilika, hupew la anayewania nafasi ya Rais ili kunadi Sera hizo akiwa na uhakika atazifanya, sasa ikitokea hakuna utekerezaji wa Ilani hiyo, ama utekerezaji umekuwa busu, bado mambo hayo yaliyoahidiwa yatabaki kuwa deni Kwa Chama na si Kwa aliyekuwa Raisi,. Ni lazima ahadi hizo zitekerezwe Kwa awamu itakayofuata, na ndicho alichokifanya Mh JPM, alipewa viporo vilivyowashinda awamu iliyopita na mambo mapya mengine ya kutekerezwa

Sasa unapokuja kumlaumu Magufuli eti kwamba hajafanya zaidi Sana kafanya mambo ya kikwete ni kumwonea, Abayetakiwa kulaumiwa ni huyo Kikwete kwamba, Kwa nini hakuyafanya ktk vipindi vyake ikiwa Ilani ya uchaguzi huwa na vitu fanywa vya miaka mitanomitano??

Licha ya kufanya viporo lakini pia karibu asilimia zote kafanya yote aliyokuwa akiyanadi kuwa atayafanya, na ameenda mbali zaidi kufanya hata Yale ambayo hayakuwa kwenye Ilani ya CCM, utamlaumje huyu mtu

Kwenye swala la ujenzi na usimamizi, wa fedha, kivyovyote Mimi Magufuli namweka kuwa ndiye Raisi pekee Tanzania aliyeweza kusimamia vizuri kuliko maraisi wote Tanzania Kwa sasa

Swala la Nani atashindana naye ktk uchaguzi mwaka huu, Kwa kifupi na Kwa haraka Sana, atakayepatikana Kutokea upinzani yeyote Yule, hamuupendi ukweli, sasa nakwambia na nasisitiza kwamba, Watashindana lakini hawatashinda, shikilia Hilo mkuu, wembe ni uleule uliombeba JpM Kwa uchapa kazi wake ndio huo tena utambeba, Asante
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
kama ni kweli,Chadema watakuwa wamefanya uwamuzi wa KIPUMBAVU.
 
Huyo jamaa anacheza mind games, uzi wenye maudhui kama haya uliletwa asubuhi hapa jukwaani kwa lugha ya kiswahili, kisha ukaondolewa. Naona huyu kauleta kwa lugha ya kiingereza, lakini wote wanaoleta uzi wenye maudhui haya ni wanaccm. Bila kujali ni ukweli au uongo. Tunawakanya viongozi wa cdm kutokurudia kosa la Lowassa, kwa utetezi wa aina yoyote ile. Lisu ndio chaguo letu, na iwapo atawekwa jela, ni bora hata tumpigie kura akiwa jela kwa njama za ccm. Tujikite zaidi kudai tume huru ya uchaguzi, kuliko kuokoteza hao wazee wa ccm kwa mtindo ule ule.
unamtaka wewe na nani? watu wa kyeboard mnashida sana
 
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CHADEMA want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Magazeti ya kujisaidia chooni bwana. Sasa huu utumbo nao mods mmeuacga humu??
 
Chadema party decision Makers doesn't want a poor candidate like Tundu Lisu for the presidential post!! Take it or leave it

Chadema was started by Rich people not poor people like Lisu

Lisu in chadema he is just a parasite ,consumer of Chadema money not producer or provider!! Ask how much he has contributed to Chadema financially and how much he has consumed!!!

Tundu Lisu is a liability to the party he has consumed more than what he has contributed !!!
A bulk junk of waste

Jr
 
Chadema bhana,si ajabu wakabadili gia angani.
DEREVA MJANJA SIKU ZOTE HATUMII USUKANI WALA KUTEGEMEA MATAIRI YA GARI LAKE KUENDESHEA GARI,ILA HUTUMIA INJINI ISIYO NA MAFUTA KULIFANYA GARI LAKE LIKAPAA KULIKO KUTEMBEA,DEREVA HUYO HUYO,DEREVA HUYO HUYO ANAPOONGOZA MELI BAHARINI,HUELEKEA UPANDE AMBAO KUNA PAPA NA SIYO KUWAKWEPA POMBOO.
 
Anachopanga Mbowe wafuasi hamna la kupinga
Akifanya ya 2015 atapiga kura mwenyewe.
Ni bora ampe Nyarandu kuliko Membe kwani Nyarandu amefanya kazi kubwa kuijenga CHADEMA kanda ya kati.
Wafanye utafiti ni nani wanachama wa kawaida wanamuhitaji. Niwahakikishie this time akimpokea Membe atazomewa kwenye kampeni.
 
Back
Top Bottom