Kwa kweli kuwa CCM nahisi unakuwa umepungukiwa na kitu kizito sana kichwani. Kama hospital zetu hazitaleta tiba basi tutakuwa na watu ambao uwezo wao wa kufikiri uko rehani na mbali sana.
Lucas weka namba wakutumie hela ya bando. Uteuzi ni mgumu sana kuupata kwa namna hii.
Naomba wewe labda ukisaidie chama changu kujibu hoja. Tutafurahi sana kupata mtu wa kupangua hoja kwani hata KINANA ameshindwa kujibu, Nape ameshindwa kujibu hoja. Hangaya ndio amenywea kabisa sasa wewe ndugu...
Kwa kweli vijana wana waza kununua gari badala ya kuwaza kutengeneza mfumo bora wa maisha. Yaani mtu anapaswa awe na kipato himilivu ndio ununue gari aka liability
Halafu unakuta sisi ambao hatuna uhuru wa kujieleza ndio tunawasema vibaya Chadema. Kwa kweli kuwa CCM ni sawa na jera ila kwa vile tuko ili tupige diri tu na ni chama cha wapiga diri tunaendelea kukomaa humo humo na diri zetu.
Chama kusemana na kukosoana ni jambo la afya sana. Nawashukuru Chadema wana uhuru wa kutoa mawazo na kusema. Lakini sisi kijani ni zidumu fikira za Mkiti tu hata kama hafanyi vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.