Ni kweli! Japo English yangu ni ya kawaida sana,Ila huyo mtafsiri siyo. Na hapo ndipo sasa tuone kama kweli elimu yetu inahitaji kuwa kwa Kiswahili au tunatakiwa kuboresha English Ili Kila mtu amalize elimu akiwa na ujuzi nayo
Mimi kwenye sifa ya kuwa Mbunge minimum qualification of education iwe degree. Kwa katiba yetu, unapochagua Mbunge ni kama kuchagua mtu anayekwenda kuwa Waziri. Hivyo, sifa ya kuwa Mbunge iwe ni degree. Form six na diploma ziwe ni sifa za kuwa Diwani. Darasa la 7 na form four wabaki kuwa...
Utakuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiri. Ulishawahi hata kufikako huko? Hao wachina,wakorea,warusi,wajapan wanajifunza na kumaster Kiingereza kuliko uharo wako wa mawazo uliouleta hapa
Anza kwa kufundisha mtoto wako kwa Kiswahili. Mbona mnapenda sana kuudhi,kukera, na kuuza watu kwa kuwapumbazisha? Una watoto au mtoto? Unasomeshea wapi? Mbona mnaopenda kupotosha watu kwa kutetea Kiswahili ndio mnaohangaika kugharimia elimu za watoto wenu kwenye English medium schools,academies...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.