Recent content by Nyanda Mhandagila

  1. N

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Maana ataoa ama kuolewa. Na pia atazaa. Hivyo atagundua mshahara haumtoshi. Maana hatakaa kibachelor siku zote
  2. N

    Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

    Bila shaka itakuwa zamu ya PSs. Maana si rahisi kuteua RCs kabla ya PSs
  3. N

    Aibu: Anayetafsiri Uwanja wa Jamhuri kamati hakujiandaa

    Ni kweli! Japo English yangu ni ya kawaida sana,Ila huyo mtafsiri siyo. Na hapo ndipo sasa tuone kama kweli elimu yetu inahitaji kuwa kwa Kiswahili au tunatakiwa kuboresha English Ili Kila mtu amalize elimu akiwa na ujuzi nayo
  4. N

    Nichagueni kuwa Rais wenu 2025 niwafanyie yafuatayo...

    Mimi kwenye sifa ya kuwa Mbunge minimum qualification of education iwe degree. Kwa katiba yetu, unapochagua Mbunge ni kama kuchagua mtu anayekwenda kuwa Waziri. Hivyo, sifa ya kuwa Mbunge iwe ni degree. Form six na diploma ziwe ni sifa za kuwa Diwani. Darasa la 7 na form four wabaki kuwa...
  5. N

    Magufuli wewe ni mzazi unayejitambua

    Huo ni mtazamo wako. Ila uko hasi. Jipeleleze ila pia fanya research uone wangapi walizaa na wakarudi shule na kufaulu vyema kabisa
  6. N

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Hivi hili Gazazeti liko wapi? Maana sijaliona kitambo kirefu!
  7. N

    Prof. Ndalichako, ni lini tutaanza kutumia Kiswahili kama lugha ya kujifunzia hadi Chuo Kikuu?

    Utakuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiri. Ulishawahi hata kufikako huko? Hao wachina,wakorea,warusi,wajapan wanajifunza na kumaster Kiingereza kuliko uharo wako wa mawazo uliouleta hapa
  8. N

    Prof. Ndalichako, ni lini tutaanza kutumia Kiswahili kama lugha ya kujifunzia hadi Chuo Kikuu?

    Watu wa aina yako mnapaswa kupimwa akili na uwezo wenu wa kufikiri
  9. N

    Prof. Ndalichako, ni lini tutaanza kutumia Kiswahili kama lugha ya kujifunzia hadi Chuo Kikuu?

    Anza kwa kufundisha mtoto wako kwa Kiswahili. Mbona mnapenda sana kuudhi,kukera, na kuuza watu kwa kuwapumbazisha? Una watoto au mtoto? Unasomeshea wapi? Mbona mnaopenda kupotosha watu kwa kutetea Kiswahili ndio mnaohangaika kugharimia elimu za watoto wenu kwenye English medium schools,academies...
  10. N

    Mene mene,tekeli na peresi. Asomaye na afahamu

    Point of correction: Hakuwa mfalme Nebukadneza. Bali alikuwa mfalme Belshaza
Back
Top Bottom