Habari wana JF,
Mimi ni Mtanzania mwenye elimu ngazi ya Degree ya biashara katika uhasibu.
Natafuta kazi ya kuandaa Payroll na tax zake monthly kama Part time kwa gharama nafuu kabisa.
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 8 kwenye sector binafsi..
Napatikana kwa namba 0657940974
Karibuni sana..
Inategemea na soko la kipindi icho kaka,, kwa mfano sasa ivi kioo cha s7 unaipa kwa 180,000 mpaka 200,000..na pia inategemea na duka mana masoko yanayofautiana, pia vioo ninavyotafuta mimi ni OG.
Habari wana JF,
Niagize kioo cha simu yako ya Samsung nikuletee hapa Tanzania na mkoa wowote kinakufikia kwa bei nzuri na utaifurahia, ndani ya wiki 3 utakuwa umeshapata kioo chako..
Nicheki whatsapp 0657940974
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.