Mbona kwenye kuwaaga wale wanafunzi lema alikuwepo uwanjani ila hakupewa furusa km mmbunge mwenyeji isipokuwa wabunge wa mbali? Kila mtu afanye yake na angekuwepo was in felons finishes wote ila wangesontwa tu nyinyiemu pole
Puuuuzi la kutosha hili limetokea mtaa gani wa wajinga? 1. Nitajie mjanja mmoja Tz aliyemwandikisha mwanaye kwenye hiyo unayoiita elimu? 2. Machinga wanafanya biashara hovyo na na wamepandishiwa bei ya bidhaa na wananchi hawana hela wanamuuzia nani? 3. Yani kuwa na fli
Lowasa kabanwa kwenye vitega uchumi wake angefanyaje km c kujisalimisha na kupiga magoti ya msamaha? Ili aendelee kusainiwa safari za nje na posho za ustaafu kisiasa kafeli na hatawahi kuwa mgombea urais kupitia Chama chochote hapa duniani na kuzimu amekwisha atabaki stori mwacheni aende zake
Leo nilipoona kwenye mitandao ya kijamii Lowasa kaenda kunywa chai Ikulu nikashangaa sana, ila nimemkumbuka rafiki yangu Lowasa kaja kuuwa upinzani nilikataa sana leo nimeamini kaja kwa mpango Maalumu wa ccm tangu alivyokuja alileta watu wazito na baadae nimegunduwa ndiye anayewatoa CHADEMA na...
Wazirist
aweke maoni yangu haya kwenye mswada 1. Sheria iseme nyumba ya namna gani na hadhi gani wapangaji watalipia sh. Ngapi pamoja na VAT isije ikawa wenye nyumba wakapandisha kodi ya nyumba kwa visingizio va VAT na wakati nyumba haina kiwango cha hiyo kodi ya pango. 2. Kuwepo na mahali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.