Recent content by Nyamuhokwa

  1. N

    Muhongo anaivuruga TANESCO, Magufuli yuko wapi?

    The boss amehongwa na baadhi ya mameneja kuwatetea. Hakuna mtanzania asiyejua udhaifu wa hao ma CEO . Huenda nawe ni miongoni mwao. Pr. Muhongo kaza buti usiogope hayo majipu
  2. N

    Mh. Rais, Kwa mtindo huu FINCA itawamaliza Watanzania

    Finca 5% kwa mwezi ACCESS 5.5 kwa mwez. Benk nying zipo kwa ajir ya kuwaibia wananchi. Na serikal iko kimya. Mh rais gavana wa BOT hajui wajibu wake anapaswa kutumbuliwa jipu
  3. N

    Mabula: Meya wa Jiji la Dar hana kazi ya kufanya!

    Kutoka mkuyun mpaka butimba ttc si zaid ya km 3. Hizo km 18 ni uongo mtupu.
  4. N

    Namtabiria Liberatus Sabas nafasi ya IGP

    Baro yupi? Make Rpc Baro alishafariki siku nying au kuna baro mwingine?
  5. N

    SUMATRA Haiendani na kasi ya magufuri ivyo ni bora ivunje

    Raisi wa awamu ya tano ndugu John Pombe Magufuri, ameanza uongozi kwa kasi kubwa ambayo imefurahisha wananchi walio wengi. Ameanza kwa kubana ukwepaji kodi bandarini na sehemu nyingine chache. Lakini pamoja na jitihada zake, kuna baadhi ya taasisi zinamwangusha. Mfano mmoja wapo ni SUMATRA. Hawa...
  6. N

    Karibu rais afanikiwe kunishawishi, lakini sasa kwa 100% simwamini tena

    Huna lolote. Inaonekana nawe ni jipu unaogopa kutumbuliwa. Tulia mwache JPM Apige kaz
  7. N

    Prof. Muhongo amerudi na mgawo wa umeme, dalili ya pili

    aya tuambie nasi wa mwanza tatizo la umeme linasababishwa na nini, maana kila siku asubuh mpaka jion umeme hakuna
  8. N

    Magufuli ni binadamu, dalili za kuchoka tayari zipo wazi

    Mleta mada ndo uliochoka, we unataka kila siku usikie jpm amefukuza mtu. Hilo baraza kateua la nini km unataka afanye kila kitu peke yake
  9. N

    Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    mkuu iv tanzania tuna marais wangap? Tr 5 nov wtz tulishuhudia jpm akipishwa, huyo mwingine aliapishwa lini
  10. N

    Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    ha ha ha ha ucnivunje mbavu,. Kuna watu wanamtukuza jamaa kuliko hata mungu. Atakachosema wanaamin hata kama wanafaham sio kwel
  11. N

    Rais Magufuli awatimua Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mwenyekiti wa Bodi na Katibu Mkuu Uchukuzi

    Steel wire haiachi kutu kwenye sufuria lenye ukoko. Hapa kaz tu
  12. N

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    utamsaidia kumpandisha na kumshusha kwenye huyo faras!
  13. N

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    utamsaidia kupandisha na kumshusha kwenye huyo faras!
  14. N

    CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi Ofisini!

    Na bado, tutaona mengi mwaka huu,cdm imewashika pabaya
  15. N

    Mzungu ana akili zaidi kuliko viumbe wote duniani, Wasouth wamethibitisha hili

    mkuu sio kwamba Tunajizarau, huo ndio ukwel, waafrika tunawaza jins ya kupata pesa za matumiz tu.
Back
Top Bottom