Recent content by Nyamtukila

  1. Nyamtukila

    TUKUMBUSHANE: Masuala ya kulipa kodi (TRA) kuelekea mwisho wa mwaka

    Ikiwa ninataka kufungua biashara ndogondogo zaidi ya moja, mfano biashara kumi, tuseme salon kumi, natakiwa kuwa na efd mashine kumi?
  2. Nyamtukila

    Tumia 'Monitoring System' kwa Ufanisi wa kibiashara

    Inafaa zaidi, karibu.
  3. Nyamtukila

    Usimamizi wa biashara, kuepuka mikataba na wizi wa mauzo

    Ni suluhisho kwa biashara ambazo gharama ya huduma ni fixed, mfano car washes, salons n.k, unaweza sasa kusimamia biashara zako zilizo maeneo mbalimbali bila kuwepo via whatsapp. Karibu
  4. Nyamtukila

    Tumia 'Monitoring System' kwa Ufanisi wa kibiashara

    Ni suluhisho kwa biashara ambazo bei ni fixed, mfano salon, car wash, n.k Karibu.
  5. Nyamtukila

    Usimamizi wa biashara, kuepuka mikataba na wizi wa mauzo

    Monitoring system maalumu zinazotumia muunganiko wa camera zenye nguvu zinazokuwezesha kusimamia biashara zote zilizo sehemu yoyote, popote ulipo utaweza kupokea picha za matukio yote katika maduka yako, migahawa yako, salon zako, yaan sehem yoyote unapohitaji kusimamia ukiwa haupo. Sasa...
  6. Nyamtukila

    Tumia 'Monitoring System' kwa Ufanisi wa kibiashara

    Monitoring system maalumu zinazotumia muunganiko wa camera zenye nguvu zinazokuwezesha kusimamia biashara zote zilizo sehemu yoyote, popote ulipo utaweza kupokea picha za matukio yote katika maduka yako, migahawa yako, salon zako, yaan sehem yoyote unapohitaji kusimamia ukiwa haupo. Sasa...
  7. Nyamtukila

    Tunaomiliki salon za kiume Tukutane hapa tuambizane namna ya kuziinua zaidi

    Wadau, kuna haya maandishi ambayo ni bold yanawekewa taa kwa ndani kila herufi na usiku yanaonekana vizuri yanapatikana wapi, ni mazuri sana kuwekea logo ya saluni, wapi tunaweza pata? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Nyamtukila

    Chemicals for sale

    Acetone unauzaje?
  9. Nyamtukila

    Makadirio ya Kodi TRA kwa biashara zaidi ya moja yakoje?

    Mfano, Mtu akiwa na duka la mangi, salon, na mgahawa maeneo tofauti, anapokadiriwa kodi yanaangaliwa mauzo katika biashara zote au kila biashara inakadiriwa kodi kivyake?
  10. Nyamtukila

    Jina la biashara vs Leseni

    Je ili kuanza biashara ya kawaida ni lazima kusajili jina la biashara brela?
  11. Nyamtukila

    Jina la biashara vs Leseni

    Je katika kuanza biashara unaweza kupata Tin na leseni bila ya kusajili jina la biashara brela?
  12. Nyamtukila

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Msaada wa haraka wadau, ninataka kuanza biashara, ila sina kitambulisho cha kura wala cha taifa ( vilipotea), Je inawezekana kuanza biashara yaani kupata namba ya mlipakodi na leseni bila kuwa na jina la biashara? Maana ili kusajili jina la biashara vinatakiwa vitambulisho, na mim hivyo sina...
  13. Nyamtukila

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Vipi kuhusu kampuni, ikiwa mmoja awa wanandoa alikuwa na kampuni anayoiendesha, katika kugawana mali kulingana na mchango wa kila mmoja inakuwaje kuhusu kampuni au biashara ambayo alikuwa nayo mmoja wa wanandoa kabla hawajaoana ikizingatiwa kuwa hakuna kilichoongezeka katika kampuni au biashara...
  14. Nyamtukila

    Taratibu zikoje katika kuanzisha kiwanda

    Khabari wadau, yeyote mweny mchango hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuanzisha kiwanda, unapataje eneo linalotakiwa kisheria kwa ajili ya kiwanda, na je utupaji majitaka kutoka kiwandani ( kiwanda cha saiz ya kati) kwenda kwenye mito inayopitisha maji taka inaruhusiwa ?
Back
Top Bottom