Recent content by nyamisedo

  1. N

    Hodi JF

    Karibu sana
  2. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Ngoja sisi tusubiri hongera sana
  3. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Naona Agro loan wameanza kupigiwa simu leo
  4. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Andika barua ya kuomba kujitolea ambatanisha CV then tuma NMB
  5. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Yeah ndiyo tumaini letu
  6. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Duh hope utafanikiwa usikate tamaa
  7. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Haukuchukua namba ya watahiniwa wenzio???
  8. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Hauna mawasiliano na mliofanya nao??
  9. N

    Wanaume waongeaji na kujisifia kuhusu mapenzi hawawezi kitandani, ila wasioongea ni balaa

    Kabisa, Ila hata wanaume wazuri hamna kitu kabisa ni uzuri wa sura tu
  10. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Ngoja nifanye tafiti ntakuja Mimi niliomba loan officer ila hata customer service na marketing wametumiwa ila kuna wengine nao hawajapata hiyo text tuwe wavumilivu tu
  11. N

    Access Bank wameshaita wafanyakazi wapya?

    Mkuu tuendelee kusubiri maana hata sisi tuliotumiwa hatujui hatma yetu mpaka sasa yawezekana wanatuma kwa awamu
Back
Top Bottom