Recent content by nyamirambaro

  1. N

    Bila kauli ya dr slaa kuhusu tetesi naacha siasa kwa muda

    Habari wa jamvi! Naomba niweke wazi msimamo wangu juu ya tetesi zinazoenea juu ya taarifa ya katibu mkuu wetu kujiudhulu kwake nakama nikweli itakuwa inakatisha tamaa wananchi napia vyama vya upinzani vitakosa imani kwa wananchi nasubiri kauli yake na mimi nitafanya maamuzi magumu.
  2. N

    Natafuta mpenzi muaminifu

    Hapana nahitaji atakayekubalika kupima hilo ndo sharti langu
  3. N

    Natafuta mpenzi muaminifu

    Habari, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25 natafuta mpenzi ambaye yuko tiale kupima UKIMWI Kama uko tiari ni pm
  4. N

    GE2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

    Nikweli ukawa Lisu ndo mpango mzima
  5. N

    Msaada: Naombeni pesa niende chuo

    Habari, Natumaini wote wazima afya njema. Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24 mwenyeji wa Tarime mkoa wa Mara. Kifupi nimehitim form six mwaka 2013 nakupata div4 ya point 18 nilikuwa nachukua PCM mwaka jana niliomba chuo nikapata ila nikakosa pesa ya kulipia gharama za chuo. Kwakuwa bado...
  6. N

    Nina miaka 30 bado bikira, naomba ushauri

    Pole sana jarib kutafuta watalaam pia muonbe mungu
  7. N

    Wagombea CCM wamwaga fedha kama njugu

    Upande wa lowasa anatoa 30000 mfano wa alipokuja tarime watu walio mdhamini walilipwa kiasi hicho
Back
Top Bottom