kwa kweli umenikumbusha mbali sana nakumbuka ilikuwa julai 1987 tulienda makuyuni jkt wakati huo tumetokea oljoro tulienda kuvuna mahindi na maharage. tukachapa kazi kweli kweli hadi maafande wakafurahi wakaamua kutufanyia sherehe tukala tukashiba na mchana tukapellekwa mto wa mbu tukanywa...
ni sawa kuyazuia maana hicho kikundi zidhani kama kina usajili wowote. na kama wangeruhusu vingejitokeza vikundi vingi vyenye majina mbalimbali na sababu mbalimbali. kama ni maandamano ya chama fulani sawa na ijulikane ni chama gani. maana kusema kikundi cha wapenda amani haitoshi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.