mm niko kijijin sana nackia kuna nafac za walimu zimetoka kwenda dodoma jna la shule winam career sec.school no. 097 kama huyu amechaguliwa kwnda chuo cha ualim naomba munisaidie kwa hilo
na vipi kuhusu post za nursing ambazo zilitumwa na baadhi mpaka sasa hazijatoka kutoka nacte zinatoka lini ili wanafunz waliotuma waingie kwenye vyuo vya afya
naomba ushauri kwa mtu ambaye anataka kujiunga na advance kuna madhara yoyote ambayo yatamwadhiri anaywenda kuingia mwez huu naomba ushauri wenu munisaiidie ili nikapate ufunguo wa maisha kwa mwezi huu wa 09
ha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.