Na changamoto ya malezi inaanzia nyumbani
Tunalea watoto kama mayai
Tunawadekeza sana
Walimu wanapata wakati mgumu. Anyway tuendelee tu kumuombea mtoto apatikane
Tabia ya kiswahili na ya ki zamani sana hii, mizigo yote singo imejaa kuanzia barabarani mpaka bar uende kuparamia ndoa za watu.Kuna wadada wako single wazuri unaenda kuweka kikojoleo kwa mwanamke ambaye unajua jana usiku alingonoka na mmewe
Ha ha ha Tanga moja hiyo maeneo ya Moa , Zingibari kuelekea Kenya,hufanana na wadigo na wasambaa pia na ni wa Swahili haswaaa…kama unakumbuka kibwagizo “ Sijauona mpilipili na maua yake mchikichooo” wameambaa mpaka Kenya huko
Wanawake zetu wana tamaa ya kupata pesa bila kufanya kazi… ndio maana utakuta wanadanganywa kuanzia
1.Vikoba
2.Biashara za mtandao sijui neolife, forever living
3.Upatu kama Blockchain sijui B9, Deci
4. Kwenye dini na imani nyingine kama kwa mwamposa , waganga kienyeji
Wana roho ndogo sana hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.