Recent content by Nyakibimbili

  1. N

    Serikali yasema kuwa wenyeviti wa vijiji, mitaa na vitongoji siyo watumishi wa umma

    Mibunge mbona inalipwa mishahara!!? Hii yenyewe ni mitumishi ya umma?? Hayana kazi zingine zinazowaingizia kipato??
  2. N

    Joe biden mtihani mpya kwa mzalendo Trump

    Uchaguzi wa dunia huo na ufike basi maana dunia huwa inachangamka
  3. N

    Viongozi 3 wa upinzani nchini Sudan wakamatwa na Jeshi

    Kwa ule umati wakiamua kuzirudisha hizo mbwa kambini kwao wanaweza tu,,AU,UN wasimame na wananchi mbona hizi mbwa kurudi kambini simple tu
  4. N

    Waziri Mkuu wa Ethiopia yuko Sudan kwa juhudi za usuluhishi

    Mpatanishi sahihi kabisa,anastahili kazi hiyo
  5. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Yaani pesa zinaibiwa serikalini zinawekwa kwenye vikampuni hivi,, kuna kigogo mmoja serikalini namstahi hizi ndio kazi zake kupiga madili na kuficha hela kwenye hivi vikampuni
  6. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Binafsi nimemlipia mdogo pesa Sh 900,000/ kwenye hivi vikampuni,,mdogo wangu ni mwalimu yuko tabora lakini nilishangaa dogo anakonda kila siku,anakosa Amani ndipo aliamua kunipa siri kuwa ana madeni yasiyoisha anasumbuliwa mno nikaone isiwe shida maadamu ni ndg yangu nkamchukua hadi kwa hao...
  7. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Kukopesha na wakopeshe lakini wawe na regulator wasiwe kama wana jamhuri yao wenyewe,,,huwezi mkopesha mtu 40-60 % riba huu ni wizi
  8. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Tupaze sauti tuwasaidie watumishi,,kama wanataka kukopesha wawe fair kwa watumishi waache wizi
  9. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Na ukitaka kujua ni matapeli,,mkataba unaosaini hata uwaombe vipi huwezi kuupata sijui wanapelekaga wapi!! Ukiomba mkataba wanakuwa wakali sana
  10. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    MAWAZIRI wa tz ndio maana wanatumbuliwa yaani wanasubiri mpaka rais aitishe press conference kulisemea hili?? Wananchi tunawapa taarifa hawazifanyii kazi.Gavana na waziri wa fedha toa tamko uwaokoe wtz, tutawasaidia kufichua wanapozificha ATM kadi na mikataba hatari
  11. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Mtumishi amekuwa kama mbwa yaani huku mikopo kule masimango ya kutoka serikalini
  12. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Ndg hawa watu ni hatari sana,,wakurya wengi ndio wanamiliki hivi vikampuni hasa mikoani
  13. N

    Bandari ya Bukoba umeiboresha sawa, lakini 2020 bila meli hapo usikanyage

    Chadema hawana hazina ya nchi,,na kumbuka kuna siasa chafu kwamba majimbo ya upinzani yasipewe fedha za maendekeo
  14. N

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Hivi vikampuni ukiviangalia juu juu kama vinasaidia vile lkn ni hatari sana haiwezekani umkopeshe mtu 40-50% ni dhambi, unamtesa mwenzio wakati mwingine mtu anashindwa kukomboa ATM kadi yake anakuwa mtu wa Ku top up tu
Back
Top Bottom