Kuna mmoja nilisave namba yake nikawa naona anapost status mume wake na watoto wake na inaonekan wako vzr tu kiuchumi na wanafuraha.. ninahis atakua namba 3 hapo maana stry zake ana marafk wachezaj mpira ma star wa bongo karbu wote.
Umepata penz jipya ndiomaan unamdharau, penz jipya linakuaga tam san had unahis huyo x wako alikua hajui mapenz, ila penz jipya utam wake unaisha baada ya miez 3 hkn rang utaacha kuona
Una kipindi nilikua naumwa san mgongo kutokan na kazi yang nakaa sana, nimeanza mazoez jan this yr, had sasa sisikii maumiv yoyote. Nilitumia madawa san had mazoez ya physiotherapy lkn skupona. FANYA MAZOEZ tu, mm kwa wiki nafanya mazoez 4.times ikiweka running 5km.
"Nyie mna dini yenu na wao wana dini yao" waacheni na mila zao ilihali hawajabuguzi nyie makafiri.. Hakuna dini inayofundisha ustaarabu kuliko uislam hao unaowatolea mifano ni wachache ktk wengi ambao wanafata maamrisjo ya dini...
Ni heri muweke dhamana gari kuliko nyumba.. inategemea na kampuni unayokopa na riba zao..
6m kwa miez sita utarudisha 7.5m kwa wanaotumia 3.5% interest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.