Ifikie tu hatua iyajibu maswali ya mh.Tundu A.Lissu ,na kama haina majibu basi isione haya kumuomba radhi mh lissu,kuliko kuendelea kujibizana, huku serikali ikitoa hoja ambazo hazina mashiko ni kujiambisha na kuonyesha madhaifu yake kitaifa mpaka kimataifa..
Na zaidi ya hapo ni kumpa umaarufu...
Heshima kwenu wanajamvi...
Nimewaza na kuwazua juu ya hili tatizo /janga lililowakumba baadhi ya wahitimu wa darasa la saba .
Kwani kama tunavyojuwa kunabaadhi ya wanafunzi mpaka muda huu hawajaripoti mashuleni kwa ajili ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza.
Hii ni kwa sababu ya uhaba wa...
Ni wiki sasa nimejiunga nanyi kwenye hii jamii forum ..nimekuwa nikileta mada,tatizo linakuja kwenye ku reply kila nikijaribu naletewa maneno haya "your account is currently pending for admin approval" tatizo nini hasa au sitakiwi kureply comments za watu?
Wajuzi nijuzeniii!!
Asante naomba...
Ni miez kadhaa toka nimezinguana na demu wangu,bila Shari kama ilivyozoeleka kwa vijana wa sasa,hiv juzi nimekutana na huyu dem ,meng tulijadili ikiwemo maisha yanavyoenda toka tumeachana,ikiwemo kujuwa sababu....lakn alikuja kugusia vp kama nimepata Mtu mwingne,lakn kama unavyojuwa ni ngumu...
Anakuona kwa Facebook uko umepiga picha ukiwa smart
..anakufuata inbox hello mambo ukimjibu SMS kama tatu tu utasikia nitumie vocha ya elfu mbili tuchart nataka nitoke humu!!!!
Hivi wanatuchukuliaje sisi????
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.