Nimeaona kuna dalili vyombo husika vimeanza kuchukua hatua stahiki,jamaa wanaitwa mmoja mmoja kujieleza.Tusubiri matokeo kama ndo wenyewe,au wamtembelewa na wadau wao.TUTAJUA BAADAYE
Kutokanana miaka mingi ya mkoa wetu kuto toa wagombea wa Urais,safari hii tuna Nyalandu na Mwigulu.Binafsi nawakubali wote.Japo katika mada nyingine nitakayo kuja nayo ni kuwalinganisha wawili hao,kwa sasa nichukue fursa hii kuwapongeza wote walionyesha nia,ukiachilia mbali mapungufu madogo...
Mkaguzi wa ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida ameibua wizi wa fedha za Umma kama ifuatavyo. Tsh.170 milioni zina vielelezo vya mashaka, Tsh.130 milioni hazina vielelezo,na milioni 30 za mitihani zimeliwa na watu watatu wa Elimu msingi na sekondari kwa kufanya manunuzi hewa.
Hao maofisa...
Ni haki yenu kisheria kuandamana,lakini mfuate sheria,Mh.Pinda kachoka maandamano kila siku.Mtapigwa tu.
Nawashauri mkae mezani na wakubwa mmalize swala lenu kiutuuzima.Hata sisi tunaitarajia kuja vyuo vikuu kupata elimu ya juu tusikatishwe tamaa na migomo na matokeo ya migomo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.