Katika hali isiyokuwa ya kawaidi leo umeme umekata pande zetu za mwananyamala. Tofauti na uzinduzi wa CCM ambapo umeme ulikuwepo masaa 24 leo ni kitendawili. Tupo tunajiandaa kwenda jangwani tukaone live maana kwenye tv ni vigumu sasa japo tuna simu zenye REDIO acha tuende JANGWANI. Sijui pande...
Mimi siwalaumu Wakenya kuzuia magari yetu bali nailaumu serikali yangu kwa asilimia mia. Kwani ukizingatia namna nchi inavyopoteza rasilimali nyingi kwenye mambo ya kijinga na hovyo kabisa, asilimia kumi kila sehemu. Angalia ripoti ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali kuhusu ujenzi wa kiwanja cha...
usije ukajaribu hata siku maana wengi hukakama na kuwa kama tuta la zege hasa juyu koboko mwenye sumu kali. Angalizo koboko huwa hapitwi mkiani wala kumwagiwa mchanga maana huruka kimgongomgongo a.k.a salakasi na kumgonga mtu
Wabari za usiku watz. Ni hali ya ajabu sana kwa nchi kama tz kushindwa kuwasaidia wananchi wanaosoma ukrain. Ilikuwa ni mji mmoja ambako vita inapiganwa kila mtu alitafuta njia ya kuokoa maisha yake lakini imekuwa vigumu kwa watz kushindwa kumudu ghalama za ghafla kusafiri kwenda kwenye mji...
punguza povu mkuu Lisu alisema ukweli kabisa. Maana asiyekubali kukosolewa huyo afai kuwa kiongozi maana hata Jesus alikili kabisa kwamba hatuna aliyemwema dunia . So mashekhe na wachungaji ni akina nani? kama wanataka heshima wafanye yale yawapasayo kufanya.
Ni kibaraka wa dini na Mungu wake. Na hiyo newton third law of motion sio application yake hapa, au ndo nyie wa division 5 maana hamjui kuapply vitu panapotakiwa. Shame on you
kijana acha pumba zako maana dunia nzima inaiomba Israel isitishe vita halafu we unakuja na pombe zako. Kuweni na moyo wa huruma maana sisi tunafuatilia
midia mbalimbali na hatujaona kitu unachoshabikia. Mashekhe mbalimbali jana katka Swalla ya jion wamelani na kuomba vita iishe halafu we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.