Recent content by Nyabubi

  1. N

    Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

    Duh! hii inatisha na serikali isipokuwa makini, mgogoro huu utaifikisha nchi pabaya sana.... lakini pia maadui wa serikali wanaweza wakafanya kitendo kama hiki ili kuzidi kuchochea mgogoro uliopo. hapa busara ya hali ya juu inahitajika ili kumaliza mgogoro huu!
  2. N

    Unam-treat FAIRLY house girl wako?

    Ni kweli wengine hawafugiki! uta-mtreat fair kabisa lakini visa haviishi, na kwa wale tunaoishi nyumba za kupanga... majirani nao ndo huwatolea macho, akiona mdada unaishi naye vizuri anamrubuni na kumchukua. Halafu cha kushangaza utakuta wale wanaopata manyanyaso katika familia wanazofanyakazi...
  3. N

    Sifa za kuwa Celebrity

    Hivimtu akitaka kuwa Celebrite awe na sifa zipi.
Back
Top Bottom