Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
I just don't believe in house maids.
Wewe wakati unakuwa hukutunzwa na housemaids? Njoo bongo, ambapo hata kama una most of the home appliances umeme still ni issue, tuone kama utachota mkaa na vidole na kuanza kuwasha ili uchemshe tu left overs; tuone kama utafua nguo na malinen au mablanket.
Watu wengi walioko huko mamtoni, si kwamba hawapendi ni kuwa majority can not afford Househelps. I understand you guys, so try to also to understand people who have the househelps, the important thing is fair treatment as the thread suggests.