Recent content by NWAKA

  1. N

    Manji angalikuwa Dangote Coco Beach angalipewa na nyongeza juu

    Amekulipa kiasi gani kuandika huu utumbo?!
  2. N

    Serikali kuondoa ajira za kudumu za umma, Juhudi na bidii ya mfanyakazi kazini kuamua hatma yake

    Kwa style hii watumishi wa Umma watakuwa Kama Mahouse boys/girls wa Mhindi.
  3. N

    DC amfukuza kazi Mganga wa zamu kwa uzembe kazini baada ya kukataa kumtibu Mtoto wa miezi 6

    DC hana uwezo wa kumfukuza Kazi Daktari sio mamlaka yake ya nidhamu Na mtumishi wa umma hafukizwi kazi kwa style hiyo kuna taratibu labda Kama angekuwa houseboy wake
  4. N

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Tunaangalia kabila au utendaji Kazi haya ndio yanayo turudisha nyuma
  5. N

    Bila katiba mpya iliyo bora uchaguzi miaka yote ni kupoteza muda tu kwa wapinzani

    Badala ya kupigania Katiba mlikuwa mnakimbilia kuzungusha mikono eti mabadiliko
  6. N

    Magufuli hakufika kwenye majimbo Matano tu!

    Kweli kabisa wapiga Deal wote utakuwa umewazika
  7. N

    Dr. Pombe Magufuli, ashindwa kutokea kwenye Mdahalo wa Urais wa Tanzania

    Midahalo ilipaswa kuwapo katika sheria ya uchaguzi iwe mandatory ili wagombea wapimwe, hivi sasa ni hiyari kwa hiyo mgombea anaweza kuja au asije
  8. N

    ITV kwanini mnarusha hotuba za Mbowe na kuacha za Bulembo kwenye kampeni za urais?

    Kwani hufahamu interest za Mmiliki wa ITV?
  9. N

    Balozi Juma Mwapachu ajivua uanachama wa CCM, hajaamua kujiunga na chama kingine

    Aliyeuza mko naye huko anaitwa Bwana Zero muulize vizuri
  10. N

    Balozi Juma Mwapachu ajivua uanachama wa CCM, hajaamua kujiunga na chama kingine

    Vibaka wote wataondoka mmojamoja Wameua mashirika yetu sasa wanajifanya wanataka mabadiliko
Back
Top Bottom