Wale wa Bcom(Accounting), Bachelor degree in Accounting na kozi nyingine zilizokua zinashindana katika nafasi ya ukaguzi wa fedha (Auditing) NAOT waneshawapa mkono wa kwaheri, course mpya Bachelor degree in accounting with Information Technology inaenda kutamba sasa.
Wananufaika na ma-jobless. Ukiingia kumi na nane zao, kipindi hiko, unalipa 5000 cash, ili uweze kuwa considered. Na watu wa kutosha kila siku kulipa hizo buku tani tano. Nchi hii, kila tabaka ni fursa.
TRA kwa tangazo la mwaka jana mwezi wa sita, mchakato uliendeshwa na bodi ya wahasibu na wakaguzi ( NBAA). Kwa maana nyingine, waliuza kazi ya kusimamia usahili kwa NBAA, badala ya utumishi.
TRA kwa tangazo la mwaka jana mwezi wa sita, mchakato uliendeshwa na bodi ya wahasibu na wakaguzi ( NBAA). Kwa maana nyingine, waliuza kazi ya kusimamia usahili kwa NBAA, badala ya utumishi.
Vyovyote unavyoielezea haiondoi ukweli kuwa kuna madhaifu katika kutekeleza hilo. Unapokuja na product mpya, lazima waje na suluhu kulinda wamiliki halali wa biashara hizo. Hizo ni laini za biashara, si jambo la kushangaza mtu zaidi ya mmiliki kuendesha laini hiyo. Kinachotakiwa ni mbinu stahiki...
Kumuamini swala moja, kukosekana kwa control ni swala lingine. Malalamiko ni juu ya kukosekana kwa control.
Fikiria hili Taikoni, unamiliki duka, umeajiri kijana kuendesha shughuli za kila siku. Malipo kwa "vendors" ni kwa cheques, wateja wanalipa cash, wewe ndio signatory wa cheque, unafikiri...
Wewe ndio una uelewa duni sana juu ya wajibu wa makampuni ya simu kuweka "control" zenye tija na nguvu kulinda watu walioamua kuwekeza katika biashara ya kipesa.
Swala la uaminifu lina nguvu katika kipengele za kutembea "kuiba" cash.
Kujiunga na kuweza kunufaika na huduma ya mikopo kwa laini ya biashara ni madhaifu ya mfumo wa voda katika kulinda wamiliki wa laini hizo za biashara.
Hapa nimekupata. Laini za uwakala ni laizi za biashara, ni wazi na hata wao wanatambua kuwa kuna "waajiriwa" wanatumia laini hizo kwa niaba ya wamiliki. Ni jukumu lao voda kuweka mipaka katika kuzuia "third party" kujiunga na huduma mpya pasipo muhusika kutoa idhini.
Hapa ndipo wachangiaji wengi hawajaelewa. Huduma ya kutoa na kuweka pesa n huduma moja inayojitegemea, kadharika huduma ya kukopa "float" ni huduma nyingine inayojitegemea. Kwa usahihi, inafaa mitandao ya simu waongeze control kuzuia asiyehisika na usajili wa laini kuwa na uwezo wa kukopa /...
Hayo mambo yako ya kukariri darasani weka pembeni. Jamaa ana hoja, hiyo line ni ya biashara, mkataba alioingia nao ni wa huduma ya kutoa na kuweka pesa, huduma hiyo tu. Hoja yake,. Inakuaje, muajiriwa wake ameweza kufanikisha hilo la kukopa bila hao "voda" kumjulisha mmiliki?
Uzi huu umekua na generation nyingi toka 2022, katika generation ya sasa, huyu ni mmoja wa icon katika uzi huu, kwa wachangiaji na wasomaji wanaopitia uzi huu, ni rahisi kum-note.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.