Hoja hii naomba isikilizwe, JWTZ wanapata shida sana hasa wazazi wao walioko mbali hakuna hospitali za jeshi.
Wanajeshi wasingekatwa pesa ya matibabu kwa sababu hawana mshahara. Nasikitika sana kwa nini wanawakata pesa ya bima ya afya nasikitika.
Tupambane tena? Nani atatusimamia kwenye hayo mapambano ya kukomaa na kuidai katiba? Polisi na vyombo vingine vya dola vitawavumilia wapambanaji wa katiba mpya?
Kesi ya Lissu iende haraka mahakama imuachie huru maisha yaendelee, mtaiishi na visasi mpaka lini? Maisha ni mafupi sana hapa duniani tusijidanganye na mali tukafikiri ni zetu hapana, tujitathimini kama Taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.