Recent content by nuruyamnyonge

  1. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania KERO Bima ya Afya ya Jeshi(JWTZ) haitusaidii Wanajeshi na Familia zetu

    Hoja hii naomba isikilizwe, JWTZ wanapata shida sana hasa wazazi wao walioko mbali hakuna hospitali za jeshi. Wanajeshi wasingekatwa pesa ya matibabu kwa sababu hawana mshahara. Nasikitika sana kwa nini wanawakata pesa ya bima ya afya nasikitika.
  2. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    Tupambane tena? Nani atatusimamia kwenye hayo mapambano ya kukomaa na kuidai katiba? Polisi na vyombo vingine vya dola vitawavumilia wapambanaji wa katiba mpya?
  3. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche: Hakuna mazungumzo yatakayofanyika bila Mwenyekiti kuwa Nje

    Kesi ya Lissu iende haraka mahakama imuachie huru maisha yaendelee, mtaiishi na visasi mpaka lini? Maisha ni mafupi sana hapa duniani tusijidanganye na mali tukafikiri ni zetu hapana, tujitathimini kama Taifa.
  4. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Namshangaa Prof. Tibaijuka anaposema Lissu ni kete muhimu katika maridhiano inamaana haoni athari alizoleta kwa Taifa? Au ni athari za kukosa cheo?

    Lissu mnamuonea tu, kubalini mawazo kinzani ndiyo hulijenga Taifa. Lissu kunyongwa sahau siyo muhaini.
  5. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

    Kuna wadada wengi wasiposikia harufu ya kikwapa cha mwanaume hawafiki kileleni.
  6. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Hela za Tone Tone Tunduma zabebwa na Fuso la kukodi, zilikuwa nyingi mno, viroba havikutosha, Hakika Wananchi wameamua

    Mungu awabariki wote wanaoendelea kujitoa kwa moyo mkunjufu.
  7. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania John Heche (CHADEMA): Wamepanga kutuvamia na kutudhuru nyumbani, safarini au tukiwa matembezini kisha taarifa za kipolisi zitasema - majambazi

    Chadema iko mioyoni mwa wananchi, tutawalinda kwa nguvu zote. Watekaji wasijaribu wataumbuka.
  8. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Kujipendekeza kwa kiwango cha namna hii Ili upate cheo kunadidimiza ndoto za wasomi kuwa maprofesa.
  9. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Umadhubuti wa CCM unategemea upinzani imara

    Ccm ni chama legelege na dhaifu kwa sasa, kimehakikisha mpinzani wa kweli CHADEMA kinapigwa pini Ili kupitisha udhaifu wao.
  10. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

    Spana za polepole ni za kizalendo Sana,muache asafishe chama kama kakugonga huwezi kumsifia.
  11. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Tundu Lissu. Asema kesi yake ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania

    Mungu akulinde na maadui waovu wote gizani na kwenye nuru, wewe ndiye mzalendo kweli katika Taifa letu. Wewe ni mshindi tutashinda pamoja.
  12. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Polepole ni mtu aliyechanganyikiwa, apewe dawa, anaropoka tu!

    Nachompendea polepole anapiga spana kwa yeyote atakaye jitokeza, huyu Zitto Kazi maalum atulie polepole siyo size yake.
  13. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Ngurumo: Lissu amesalitiwa na wafuasi wake. Kwa sasa habari zake zimepotea kama moshi

    Tundu Lissu Will remain popular now and then, hakuna msaliti nchi hii zaidi ya waliomuweka Lissu Gerezani.
  14. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe, tuliosoma naye tulimuita Polisi/Usalama

    Pole pole ni Asset kwa Taifa apewe ulinzi
  15. nuruyamnyonge

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu jasiri zaidi ya Tundu Lissu amewahi kutokea Tanzania?

    Hakuna kama Tundu Lissu. Huyu ni mteule na mpakwa mafuta. Tanzania tukiwa na kiongozi kama Lissu nchi inakaa kwenye mstari.
Back
Top Bottom