Recent content by nuruyamnyonge

  1. nuruyamnyonge

    John Heche (CHADEMA): Wamepanga kutuvamia na kutudhuru nyumbani, safarini au tukiwa matembezini kisha taarifa za kipolisi zitasema - majambazi

    Chadema iko mioyoni mwa wananchi, tutawalinda kwa nguvu zote. Watekaji wasijaribu wataumbuka.
  2. nuruyamnyonge

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Kujipendekeza kwa kiwango cha namna hii Ili upate cheo kunadidimiza ndoto za wasomi kuwa maprofesa.
  3. nuruyamnyonge

    Umadhubuti wa CCM unategemea upinzani imara

    Ccm ni chama legelege na dhaifu kwa sasa, kimehakikisha mpinzani wa kweli CHADEMA kinapigwa pini Ili kupitisha udhaifu wao.
  4. nuruyamnyonge

    Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

    Spana za polepole ni za kizalendo Sana,muache asafishe chama kama kakugonga huwezi kumsifia.
  5. nuruyamnyonge

    Waraka wa Tundu Lissu. Asema kesi yake ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania

    Mungu akulinde na maadui waovu wote gizani na kwenye nuru, wewe ndiye mzalendo kweli katika Taifa letu. Wewe ni mshindi tutashinda pamoja.
  6. nuruyamnyonge

    Zitto Kabwe: Polepole ni mtu aliyechanganyikiwa, apewe dawa, anaropoka tu!

    Nachompendea polepole anapiga spana kwa yeyote atakaye jitokeza, huyu Zitto Kazi maalum atulie polepole siyo size yake.
  7. nuruyamnyonge

    Ngurumo: Lissu amesalitiwa na wafuasi wake. Kwa sasa habari zake zimepotea kama moshi

    Tundu Lissu Will remain popular now and then, hakuna msaliti nchi hii zaidi ya waliomuweka Lissu Gerezani.
  8. nuruyamnyonge

    Polepole apuuzwe, tuliosoma naye tulimuita Polisi/Usalama

    Pole pole ni Asset kwa Taifa apewe ulinzi
  9. nuruyamnyonge

    Kuna mtu jasiri zaidi ya Tundu Lissu amewahi kutokea Tanzania?

    Hakuna kama Tundu Lissu. Huyu ni mteule na mpakwa mafuta. Tanzania tukiwa na kiongozi kama Lissu nchi inakaa kwenye mstari.
  10. nuruyamnyonge

    Kwanini CHADEMA linapokuja suala la mashahidi kwenye kesi ya Lissu wanapaniki sana wanatamani wasiwepo, wanaogopa Nini au wanajua?

    Mashahidi wa wananchi tunataka wawe wazi tuwaone Ili tuwapongeze kwa kugundua kwamba Tundu Lissu anapanga njama za uhaini dhidi ya nchi yetu. Kwa nini watu wazalendo kama hao wafichwe kwenye ushahidi wa Jamhuri?? Wawekeni wazi tuwapongeze kwa Kazi nzuri dhidi ya nchi yetu.
  11. nuruyamnyonge

    Barua ya Lissu kwenda kwa Dkt. William Leo

    Pole sana Mnyampaa, hauko peke yako tuko pamoja. Unalipenda Taifa lako kwa moyo wa dhati, Mungu hatakuacha peke yako utashinda na amekuandalia njia nyeupe kuliongoza Taifa hili.
  12. nuruyamnyonge

    GE2025 Salum Mwalimu amesema yeye kuwa Rais ni Kichekesho haiwezekani bado sana

    Kuna siku atakuja kusema Sisi tuko kwenye payroll Kazi maalum.
  13. nuruyamnyonge

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi 18 Agosti 2025

    Tundu Lissu ni mzalendo no.1 katika nchi hii, Mungu WA mbinguni tunayekuabudu mkumbuke mtumishi wako Leo .
  14. nuruyamnyonge

    Maombi yangu kwa Mungu kwa ajili yako Lissu

    Lissu ni mtu mwema Mungu akulinde na kukupa afya njema huko gerezani. Muachieni Tundu siyo muhaini.
  15. nuruyamnyonge

    GE2025 Musiba: Kama kuna mtu yeyote nilimkosea, naomba anisamehe. Ule ulikuwa ni ujana

    Muungwana akiomba msamaha husamehewa. Binafsi nakusamehe umetubu.
Back
Top Bottom