Mashahidi wa wananchi tunataka wawe wazi tuwaone Ili tuwapongeze kwa kugundua kwamba Tundu Lissu anapanga njama za uhaini dhidi ya nchi yetu. Kwa nini watu wazalendo kama hao wafichwe kwenye ushahidi wa Jamhuri?? Wawekeni wazi tuwapongeze kwa Kazi nzuri dhidi ya nchi yetu.
Pole sana Mnyampaa, hauko peke yako tuko pamoja. Unalipenda Taifa lako kwa moyo wa dhati, Mungu hatakuacha peke yako utashinda na amekuandalia njia nyeupe kuliongoza Taifa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.