Kwani wewe ni mtorosha madini? Yani M'bongo akinunua Smartphone atataka kilakitu aongee yeye ili aonekane anajua. Haya basi nenda kawashawishi Familia yako.
Sasa kama ulikuwa mautiuti mbona ulivyoambiwa kulipia huduma ukaondoka?. Siungekomaa usiondoke kwa kuwa ni mgonjwa? We itakuwa ulileta mapozi au ulikuwa unatafuta Kiki.
We labda ulikuwa mpigadili tu. Mimi ni Mwalimu mshahara wangu kila mwezi naingiziwa, Mke wangu nimemfungulia duka TRA nalipa kodi 2020 najua wa kumpa kura yangu bila hata ya kampeni. Sasa mimi na Serikali tutakwaruzania wapi? We utakuwa ni wale wazee wa kujilipa semina hewa au mkwepa kodi...
Yani we unaacha kututetea VAT kwenye unga ambao hata Baba yako ana ununua unakomaa na watalii ambao hata inawezekana Baba yako hatakanyaga huko. Halafu VAT ni lazima na ipo kimataifa hata hao watalii wanajua ina lipwaga we labda utetee kama kiingilio nikikubwa kipunguzwe ila VAT ni lazima. Kumbe...
Sasa kama analipwa 1,480,000/= na amekopa Bank anakatwa hata ikibaki laki 4. Kuna shida gani au ulitaka wakope hela Bank halafu Serikali ndio iwalipie? Tumia akili kuleta mada hapa kama mil 1.48 ni ndogo sema haitoshi tujue ni ndogo lakini sio useme ana take home laki 4 maana mkopo ni hiari...
Sio sticker tu na hela ya fire tunayolipia TRA halafu hupewi mtungi wala kukaguliwa inakuwaje? Yani gari linajazwa sticker mpaka kioo kinakuwa kizito na wakati ni Serikali moja, si ibandike sticker moja kuashiria kila kitu umelipa?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.