Recent content by Nunua Toka UK

  1. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 January Makamba aliwa kichwa Bumbuli

    Stephen Byabato alikuwa naibu wake kule nishati. Naye ameliwa kichwa.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Marekani: Mwanamke achangiwa zaidi ya bilioni moja baada ya kumwita mtoto mweusi wa miaka 5 niga

    Kwa upeo wangu. Ubaguzi wa rangi miaka ya karibuni umekuwa unaongezeka kwa kasi. Hasa dhidi ya watu weusi.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Marekani: Mwanamke achangiwa zaidi ya bilioni moja baada ya kumwita mtoto mweusi wa miaka 5 niga

    Tukio la kibaguzi lililorekodiwa katika uwanja wa michezo wa Minnesota limezua hasira na kuzua mzozo usiotarajiwa baada ya mwanamke anayeitwa Shiloh Hendrix (kwenye picha) kurekodiwa akielekeza maneno ya ubaguzi wa rangi kwa mtoto mweusi mwenye umri wa miaka mitano, ambaye inasemekana ana autism...
  4. N

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni: Uchumi wetu ulikuwa kwa 6% baada ya nchi za Magharibi kuzuia mikopo kwa sababu ya sheria zetu za ushoga

    Baada ya kupitisha sheria dhidi ya ushoga, nchi za Magharibi ZILIZUIA Benki ya Dunia kutupatia mikopo, lakini uchumi wetu ulikua kwa 6%. ~ Yoweri Museveni (Rais wa Uganda). Taarifa hii inarejelea matukio yanayozunguka kifungu cha 2014 cha Sheria ya Kupinga Ushoga ya Uganda, ambayo iliweka...
  5. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88

    RIP Pope Francis.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Scania P450 inauzwa

    Kwangu haina kasoro?
  7. N

    JamiiForums Tanzania Scania P450 inauzwa

    Hii Scania ipo UK inauzwa. Niya mwaka 2019. Ina kilomita 628K, auto gearbox. Catwork tody. Bei yake na kusafirishwa mpaka Dar Es Salaam ni Tshs 112m.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Klaus Schwab ambaye ni mwazilishi wa World Economic Forum anajiuzulu kama mwenyekiti

    Klaus Schwab, mwanzilishi wa Jukwaa la Uchumi Duniani, amefahamisha wafanyakazi na wadhamini kwamba atajiuzulu wadhifa wake wa uenyekiti. Baada ya kuongoza Jukwaa kwa miongo mitano na kuunda mkusanyiko wa kila mwaka wa wasomi wa kimataifa, Schwab sasa ameanza mabadiliko ya kujiondoa. Soma zaidi...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Bilionea wa Kiafrika anatarajia kujenga AI data centre ya kwanza barani Afrika

    AI could increase corporate profits by $4.4 trillion a year, according to new research Soma hapa: AI could increase corporate profits by $4.4 trillion a year, according to new research
  10. N

    JamiiForums Tanzania Bilionea wa Kiafrika anatarajia kujenga AI data centre ya kwanza barani Afrika

    Bilionea wa Zimbabwe Strive Masiyiwa anayemiliki Cassava Technologies ametangaza kushirikiana na Nvidia kujenga data centre ya kwanza barani Afrika. Cassava Technologies inapanga kutumia teknolojia ya kisasa ya AI ya Nvidia ifikapo Juni 2025 nchini Afrika Kusini. Pia wamepanga kujenga data...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kimemkuta Polepole?

    Huyu muheshimiwa kila nikimwona ananikumbusha kile kikopo cha mafuta alichoachiwa pale Dodoma. TUKATAE WAHUNI!
  12. N

    JamiiForums Tanzania I have been clubbing and seen a lot, but this tops all

  13. N

    JamiiForums Tanzania Elon Musk says xAI has acquired X in deal that values social media site at $33 billion

    Elon Musk said on Friday that his startup xAI has merged with X, his social network, in an all-stock transaction that values the artificial intelligence company at $80 billion and the social media company at $33 billion. More...
Back
Top Bottom