Recent content by NUKTA

  1. NUKTA

    Naishi na jirani anayesemekana ni mchawi, naombeni ushauri

    Juzi ulikuja na thread ukiomba tukulize chochote kuhusu DINI ya ALLAH (UISLAM) .... Leo wataka tukushauri kuhusu Uchawi?.... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. NUKTA

    Nataka kwenda kupokea ndege leo, ila sijui unaingiaje huko

    Umeolewa tuanzie hapo!.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. NUKTA

    Ukweli mchungu: Kama unatarajia ongezeko la mshahara 2019/2020 kwakuwa 2020 kuna uchaguzi mkuu basi unahitaji maombi ya kinabii.

    Anajiandaa kushinda kwa wizii,,,na ubabe ila tutamdhibiti ,,tutapiga kampeni chinichini wananchi wataelewa tu!..... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. NUKTA

    Maoni: Mapokezi ya ndege nyingine ijayo yafanyike uwanja tofauti na JNIA

    Mnataka zitage?.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. NUKTA

    Kati ya Februari na Juni, ATCL itaanza safari za Mumbai, Guangzhou na Bangkok

    Umesahau kuhusu Nyama , yaani Nyama ya mbuzi kwenda Dubaii Sent using Jamii Forums mobile app
  6. NUKTA

    Kati ya Februari na Juni, ATCL itaanza safari za Mumbai, Guangzhou na Bangkok

    Mkuu kwani mbuzi hazikwenda Dubai?...aaah Zilienda mkuu Walah tena ziliendao[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. NUKTA

    Kati ya Februari na Juni, ATCL itaanza safari za Mumbai, Guangzhou na Bangkok

    Wkachukue jamaa ya ubungo wazipigie debe Sent using Jamii Forums mobile app
  8. NUKTA

    Serikali yazipiga marufuku shule za binafsi kurudisha wanafunzi nyumbani kwa sababu ya ada!

    Shule zenu ,za serikali zimewashinda mnatapatapa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. NUKTA

    Jifunze visa na mbinu za kukabiliana na wezi wa majumbani

    Usilale uchii Sent using Jamii Forums mobile app
  10. NUKTA

    Wapi zinauzwa aina hizi za pikipiki? Nahitaji

    One ten,,,,ngumuu hiyoooo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. NUKTA

    Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

    Hawa mafundi bwana wapo Mafundii kwelii na wengine wachumia tumboo,,,niliwahi kupata fundi mmoja wa kike yule anaweza hata kukuambia matendo yako yote ya wiki nzima,,,ikiwemo uliyofanya ukiwa peke yako...Huyu yeye hakutozii nakupa hudama unakwenda ukiona shida yako imekwisha utampelekea shukrani...
  12. NUKTA

    Ushauri wenu: Nimefikiria nimeona nirudi shule kusoma. Nisomee nini wakuu?

    Nimefikiria kwa muda,,nikaona upon serious,, binafsi nakushauri kasome kitu unachokipenda hata kama utaanza level ya certificate naamin utajituma zaidi kuliko kusoma course kwa kufata mkumbo Fulani kasema.... Na kama ni kozi za afya kwanza fahamu umepoteza nafasi ya kusoma vyuo vya serikali...
  13. NUKTA

    Ukweli mchungu: Soko la ndani halihitaji ndege hizi

    Mleta Maada.anajuana na mabeberu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. NUKTA

    Rais Magufuli anadukua simu za mawaziri na kusoma meseji zao? Sikia hili

    Kwa hili nakupa hongera ,nimelipenda,,,umejipanga vizur Sent using Jamii Forums mobile app
  15. NUKTA

    Ni kwanini watu wengi maarufu nchii hii wanatokea kigoma

    Swali simple na jibu simple tu #/UCHAWI# Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom