Pamoja na yoteeeee tujiulize, kwani katibu mkuu wa wizara ya habari ni nani?
Ukijibu swali hili utajua nini maana ya uhuru wa habari kwa vyombo vya habari
Like serious, yaan hapa kama unahusika na chama cha mgombea aliyeagizwa kwenda upinzani unaweza kosa amani moyo kwa mgombea wako kumbe ni katuni tu hiyo
Kwani hiyo mitandao watu wanaitumia bure? Si kuna malipo ya data"MB" ambazo wanatumia? Na hizo data si zinalipiwa kabisa?
Maoni yangu:
Wakae waelewane na makampuni ya mitandao ya simu ambayo tunanunua data huko, waelewane namna bora ya kugawana mapato
Pia wakiweza wawasiliane na watu wa hizo...
Kwetu;
Mfumo wa maji hadi nyumbani
Umeme wa REA
Hivi ndio mabadiliko ya kimaendeleo yaliyoletwa na serikali hivyo kuchochea shughuli nyingine zianze hasa zinazohitaji umeme na hivyo kuchangamsha mtaa
Nadhani alipewa nafasi hiyo kwa merit ya uwezo wake binafsi na mapenzi yake kwa WASAFI na hakupewa kwa sababu ni mkuu wa mkoa. Hivyo hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya mkuu wa mkoa nakuilea na kuishauri WCB Wasafi
Japo uzi mrefu lakini nimejitahidi kusoma hadi mwisho, akili ikachoka nikashindwa kupumzika. Mengi ya kujifunza umeyafafanua
Nitarudia mara ya pili kusoma nielewe zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.