Recent content by NUHU KANGE

  1. NUHU KANGE

    Je, upi ni uamuzi mzuri na sahihi kati ya kuizima simu usiku au kuiacha ikiwa inawaka? Kupata taarifa mbaya (msiba) Vs Kupewa ujumbe mwema (Uvamizi)?

    Mtt wa kiume hatakiwi kuzima simu usiku,manake unawezwa tafutwa ghafla usku upewe mchongo uamke alfajir faster ww hupatkani.!
  2. NUHU KANGE

    Serikali: Shule binafsi, marufuku kukaririsha darasa au kufukuza Mwanafunzi kwa kutofikia wastani wa shule

    Hii serikali inataka nchi izidi kuwa na wajinga wengi,na huu ni mpango wa kuziangusha private school kitaaluma ziwe sawa na Government wakati shule zao ni mbovu, manake huo utaratibu upo long time! Mtoto anapofika wastani walioupanga,ndo anapanda darasa na kuendelea sasa serikali wanauvunja...
  3. NUHU KANGE

    Kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili: Rais Magufuli aenda kumjulia hali Kingunge Ngombale Mwiru

    Mbwa weeh acha mihemko ya kisiasa kuongea utumbo pumbavu.
  4. NUHU KANGE

    DR Congo: Vikosi vya kulinda amani vyashambuliwa, wanajeshi 14 wa Tanzania wauawa, 44 wajeruhiwa & 2 hawajulikani walipo

    Kifo kwangu ni wajibu mwili wa taifa roho yangu , kufa au kupona kutetea nchi yangu na afrika nzima iwe usiku au mchana , jua au mvua , kwa tabu na raha mungu simama pamoja nasi daima..... No retreat no surrender #R_I_P_comrades
  5. NUHU KANGE

    NIDA head office location

    Habari wana JamiiForums, Nauliza head office za NIDA zipo sehemu gani hapa Dar?
  6. NUHU KANGE

    Kapteni Hilda, Rubani mwanamke wa kwanza Tanzania kurusha Boeing

    Na kweli kabisa! angekua mtoto wa maskini wazazi wake wasingeweza ku afford gharama za kumsomesha chuo,hivo vyuo vya kujifunza urubani hua ni ghali Sana duniani kote.
Back
Top Bottom