Makala hii inaelezea kitabu kinaitwa UNMASKING INEQUALITY in Tanzania and Beyond. Hakika hiki kitabu kinastahili kusomwa na kila mtanzania.
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/entertainment/tanzanian-author-turning-own-struggles-into-a-voice-for-change-5163814
Huwezi kuifanya elimu kuwa Bora bila kuwa na mfumo mzuri wa Basic education (elimu ya msingi)... Hata uboreshe vyuo vifanye research haitasaidia Kama wamefika vyuo kwa kupitia msingi mbovu(primary and secondary education).
Kwaiyo Kama unataka kuikomboa elimu ya TZ, fumua mfumo mzima wa Basic...
Huwezi kuwashindanisha Hawa, Mmoja ana cheti Cha taaluma, mwingine ana cheti Cha shule tu. Hakutakuwa fair. Hapo nitamchukua mwenye One ya PCB... Naelewa mziki wake
Wa kulaumiwa ni serikali ya CCM... Uwanja mmoja tu unawashinda kuutunza. Tangu 2023 maandalizi ya African Football League tuliambiwa huu uwanja unafanyiwa ukarabati mkubwa.. Leo 2025 hakuna jipya.. hata viti walivyoweka vya kizamani tu. Nilidhani wangeweka vya kufunga na kufungua.
Kwa ujumla...
Huwa nasikitika sana kuona mtoto yeyote analelewa na mzazi mmoja... Ina athari kubwa sana kwa Sasa na baadaye.. Ushauri wangu kwa wanaume wenzangu najua kuwa wanawake wanazingua sana Ila usimtese mtoto kisa huelewani na Mama yake.
Mazingira ya Africa ndio yanasababisha waweke hivyo... Uliweka fainali moja Neutral venue, hautapata hata mashabiki... Hakutakuwa na usawa kabisa... Miundombinu na Usafiri kwa mashabiki kuhudhuria fainali tatizo pia... Mfano watanzania wangapi wanaweza kusafiri kwenda Morocco kusapoti timu...
Upo sahihi, lakini Kuna sehemu wachezaji wa Simba wanalazimisha tu... Angalia goli la pili, pasi aliyopiga Musa Camara kwenda kwa Yusufu Kagoma ilikuwa na ulazima gani wakati anaona Kuna pressing ilikuwa imefanyika kila mchezaji wa Simba aliye karibu yake alikuwa marked. Alishindwa Nini kupiga...
Kilichotugharimu jana ilikuwa ni backpass... Ukiangalia magoli yote mawili yalianzia kwa wachezaji kupoteza mpira kutokana na back pass... Na hata hatari nyingi za Berkane zilitokana na wachezaji wetu kupoteza mipira kwenye mazingira hatari due to back pass.
Simba waepuke Sana pasi za nyuma...
😂 Ifike wakati dunia tukubali tumeshindwa kumuelewa mwanamke kabisa... Kila siku tunaambiwa haya mambo... Hakuna jipya.
Wanawake tuishi nao tu hivyohivyo bila kuweka matarajio. Akikushinda achana naye tafuta mwingine maisha yaendelee.
POGBA, KANTE, INIESTA.
Hapo Kante anakaba, Pogba anapiga pasi zake zile hatari na zenye maono(vision), Iniesta anachezesha timu, anauwezo wa kukokota mpira, Kupunguza wachezaji, Kufungua vyumba na kupiga pasi za mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.