Wakati mwingine wanaume tuache kuwa wabinafsi. Unaposema sijui mwanamke kashatumika, sijui hana marinda, sijui kalishwa shahawa na kadhalika, Je? Ni nani aliyemfanyia hayo?? Na huyo mwanaume wake wa kwanza alikuwa anatafuta nini kwake Kama hakuwa na lengo la kumuoa??
Kwenye mambo haya ya...
😂 Hivi familia walizotoka Bill Gates, Elon Musk, na Zuckerberg unazifahamu? Hao watu wazazi wao walikuwa vizuri tu na hiyo inamsaidia mtu kukua katika mazingira bora na kutambua fursa. Hapo Kuna ambao wazazi wao walikuwa madaktari tena mabinngwa, wengine wazazi wao walikuwa wanasheria... Kwaiyo...
Nitamwambia asifuate maneno ya watu, asubiri muda wake angalau akiwa 18+.... Lakini pia nitampa elimu ya ngono salama. Maana mtoto hata umkanye itafika siku atajaribu tu mwenyewe, cha muhimu apatiwe elimu sahihi.
Mmmmh, hii kali.. hizo ni professional identity tu sidhani kama ndio huongeza thamani ya jina la mtu kuliko wengine. Tatizo nchi za Africa tuna ulimbukeni wa elimu na titles. Wenzetu unaweza kukuta mtu ana PhD lakini hatumii kabisa hiyo Dr au prof. Thamani ya jina lako itatokana na matendo...
Moyo hauna ufahamu. Ubongo ndio unachakata hisia nyingi ambazo wakati mwingine zinapandisha au kushusha heart rate na kumfanya mtu ahisi maumivu ya moyo.
Duuh! Kwa maisha haya ya sasa na wanawake wa siku hizi, bora usioe. Vuta subira endelea kukuza kipato. Labda Kama ukipata mwanamke anayekuelewa na kuridhika na hicho kipato chako, lakini pia yeye mwenyewe awe na Chanzo Cha kipato asiwe tegemezi kwako. Bila hivyo hakuna utachofurahia kwenye ndoa.
Watu wengi wanaamini tu lakini hawajui kama Mungu yupo. Unapotazama ulimwengu na vilivyomo, utajiuliza pia hivi vitu vilitokea wapi? Ni wazi kuna nguvu fulani au kiumbe kinachohusika na uwepo wetu na dunia yenyewe. Huenda ndio Mungu. Na labda lengo lake ilikuwa dunia iwepo tu. Hizi dini ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.