Recent content by Nucleus

  1. N

    JamiiForums Tanzania A book worth reading.

    Makala hii inaelezea kitabu kinaitwa UNMASKING INEQUALITY in Tanzania and Beyond. Hakika hiki kitabu kinastahili kusomwa na kila mtanzania. https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/entertainment/tanzanian-author-turning-own-struggles-into-a-voice-for-change-5163814
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kama Ningekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu chochote Tanzania kingeingia kwenye top 5 ya vyuo bora Afrika ndani ya mwaka mmoja tu

    Huwezi kuifanya elimu kuwa Bora bila kuwa na mfumo mzuri wa Basic education (elimu ya msingi)... Hata uboreshe vyuo vifanye research haitasaidia Kama wamefika vyuo kwa kupitia msingi mbovu(primary and secondary education). Kwaiyo Kama unataka kuikomboa elimu ya TZ, fumua mfumo mzima wa Basic...
  3. N

    JamiiForums Tanzania PCB division 1.3 na diploma gpa ya 5.0 nafasi ipo moja ya admission, unamchukua nani kozi ya MD MUHAS?

    😂😂 Niliondoka na point 8... Physics C, Chemia C, Biology B.
  4. N

    JamiiForums Tanzania PCB division 1.3 na diploma gpa ya 5.0 nafasi ipo moja ya admission, unamchukua nani kozi ya MD MUHAS?

    Huwezi kuwashindanisha Hawa, Mmoja ana cheti Cha taaluma, mwingine ana cheti Cha shule tu. Hakutakuwa fair. Hapo nitamchukua mwenye One ya PCB... Naelewa mziki wake
  5. N

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba wanatutapeli,wametuuzia tiketi za fainali kwa Mkapa, ila wanakataa hazitumiki fainali Zanzibar tununue mpya, zitatumika tu Simba day

    Wa kulaumiwa ni serikali ya CCM... Uwanja mmoja tu unawashinda kuutunza. Tangu 2023 maandalizi ya African Football League tuliambiwa huu uwanja unafanyiwa ukarabati mkubwa.. Leo 2025 hakuna jipya.. hata viti walivyoweka vya kizamani tu. Nilidhani wangeweka vya kufunga na kufungua. Kwa ujumla...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Single mothers tunapambana na ku-risk maisha kwa ajili ya damu ya mtu asiyejali wala kuwaza majukumu yake

    Huwa nasikitika sana kuona mtoto yeyote analelewa na mzazi mmoja... Ina athari kubwa sana kwa Sasa na baadaye.. Ushauri wangu kwa wanaume wenzangu najua kuwa wanawake wanazingua sana Ila usimtese mtoto kisa huelewani na Mama yake.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya WHO kwa Afrika. Prof Janabi anamwaga sera

    Kweli kabisa, TZ is very uncivilized
  8. N

    JamiiForums Tanzania CAF inakuwaje fainali ikawa mara 2?

    Mazingira ya Africa ndio yanasababisha waweke hivyo... Uliweka fainali moja Neutral venue, hautapata hata mashabiki... Hakutakuwa na usawa kabisa... Miundombinu na Usafiri kwa mashabiki kuhudhuria fainali tatizo pia... Mfano watanzania wangapi wanaweza kusafiri kwenda Morocco kusapoti timu...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mohamed Hussein na Abdullazak ni Vimeo simba

    Upo sahihi, lakini Kuna sehemu wachezaji wa Simba wanalazimisha tu... Angalia goli la pili, pasi aliyopiga Musa Camara kwenda kwa Yusufu Kagoma ilikuwa na ulazima gani wakati anaona Kuna pressing ilikuwa imefanyika kila mchezaji wa Simba aliye karibu yake alikuwa marked. Alishindwa Nini kupiga...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mohamed Hussein na Abdullazak ni Vimeo simba

    Kilichotugharimu jana ilikuwa ni backpass... Ukiangalia magoli yote mawili yalianzia kwa wachezaji kupoteza mpira kutokana na back pass... Na hata hatari nyingi za Berkane zilitokana na wachezaji wetu kupoteza mipira kwenye mazingira hatari due to back pass. Simba waepuke Sana pasi za nyuma...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia kijana wa kiume unapojihusisha na mahusiano ya kimapenzi

    😂 Ifike wakati dunia tukubali tumeshindwa kumuelewa mwanamke kabisa... Kila siku tunaambiwa haya mambo... Hakuna jipya. Wanawake tuishi nao tu hivyohivyo bila kuweka matarajio. Akikushinda achana naye tafuta mwingine maisha yaendelee.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Tengeneza Midfield ya watu watatu hapa

    POGBA, KANTE, INIESTA. Hapo Kante anakaba, Pogba anapiga pasi zake zile hatari na zenye maono(vision), Iniesta anachezesha timu, anauwezo wa kukokota mpira, Kupunguza wachezaji, Kufungua vyumba na kupiga pasi za mwisho.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa mkoa Tabora achachamaa Milambo secondary awatimua warudi makwao upesi wapande gari lolote la uelekeo wa kwao kwa wao kutishia kuchoma shule

    Mpaka wafikie hatua hiyo ujue dialogue zimeshindikana... Hakuna mtu anayeamka tu na kuanzisha vurugu bila sababu
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa mkoa Tabora achachamaa Milambo secondary awatimua warudi makwao upesi wapande gari lolote la uelekeo wa kwao kwa wao kutishia kuchoma shule

    Tanzania ukipigania haki yako unaonekana ni tatizo... Wanataka ukae kimya tu hata Kama unanyanyaswa. Ukiongea utaambiwa una kiburi...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Vyuo vya Kati kuna ubabaishaji mwingi, mfano malipo ya ‘Sup’ yamegeuzwa kitega uchumi

    Vyuo vya Kati vya afya ni biashara sikuhizi...
Back
Top Bottom