Hapo mimba inatishia kutoka Kuna dawa nimeisahau jina ingekusaidia kidonge kimoja kinauzwa alfu 15 na unatakiwa ununue doz nzima but nahic umechelewa kama Damu zmeanza kutoka !
Dodoma computer workshop ,yupo Dom spare zote unapata na service zote za computer bila kusahau photocopy aina zote na printers, keyboard ya Toshiba c650 au c660 unapata Kwa alfu 60 karibu 0754-826594
Ilete Dodoma computer workshop nitaitengeneza itapona na isipo pona nitakulipa but huja specifie model yake eg del d620 , d630 etc nimekuambia tatizo lake according to its model, karibu.
Msingiziwa VP frank wkt pics inaonyesha unavyofanya uovu wako we ufungwe tu huna maana,hizo nguvu ukazitumie jela kulima co kupiga dent ivi we umesoma kweli ? Mbn unafanya mambo ya kizamani sana kiukweli umenipa moto sana yaan ningekuona cjui nini kingefuata hapo.
We tembosa inaonekana ni ndg wa huyo MWL that's why unamtetea ,hiyo how to handle cases ni course wanayoichukua kabla hawajaenda field so hapo wamefanya maksud na isitoshe hawajalazishwa kuwa waalimu wafanye kazi nyingine hata wakalime ualimu ni wito co kazi kwanza wachunguzwe huenda hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.