Recent content by Ntuzu

  1. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    ✋✋✋✋👏👏💪💪💪 #KTBFFH
  2. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    So far, Masigara yuko fiti mbaya na Sarriball yake. Nawapa Hi fans wote Wa the Blues. #KTHBFFH #Holler [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
  3. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nipo mkuu, nawafatilia sn humu hua napita kimya kimya tu lkn tuko pamoja
  4. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Willian kuna wakati alionekana kuchoka na hii inatokana na kucheza ktkt ya Wiki, hapo tulimkosa Pedro tu pia Moses amekua hana kasi sn lkn team work ya pamoja inafanya Hazard kufunga lkn km unaangalia vzr lazima uone kuna watu wameanza kutengeneza move ndo Hazard anamalizia. Kwa mfumo wa...
  5. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sarrball haikua na shida na Jurgen Klopp wala hakuweza kuisumbua hiyo Sarriball. Kilichotokea ni kwamba, mabeki wa pembeni wa Chelsea wote wawili leo hawakua wanapanda sn mbele kusaidia mashambulizi hasa kutokana na kua Liverpool ina wachezaji wenye uwezo wa kukimbia sn hasa Salah na Mane...
  6. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ha ha ha ha Malafyale bhana.... Chelsea alikuja kukufunga kwako akiwa kaweka bench key players wote. Sasa wewe umeweka full ngawamba na umeshindwa kuifunga Chelsea.
  7. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wakuu tuko pamoja. Naona Malafyale anafurahia sare
  8. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    [emoji123][emoji123][emoji113][emoji113] #KTBFFH
  9. Ntuzu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni Chelsea tu ndo wanaweza isumbua City
  10. Ntuzu

    Marekani yasisitiza kuiadhibu Korea Kaskazini Muda wowote kabla ya 2018

    Mara ngapi midege ya US inaruka ktk anga la noko na noko anaangalia tu
  11. Ntuzu

    Marekani yasisitiza kuiadhibu Korea Kaskazini Muda wowote kabla ya 2018

    Yani humu mkuu majitu yanaongea tu bila weledi wowote ktk haya mambo. Hayajui NOKO akirusha kikombora chake kimoja ata km cha nuclear, Marekani itarusha Mara Mia zaidi. Sasa Nani atapondwa kwa muktadha huo?
Back
Top Bottom