Hapo sasa itabidi sheria za urithi zichukue mkondo wake, kama umekufa bila kuacha wosia mali zako zitagawanywa kulingana na sheria mahususi kwa kuangalia maisha yako, mfano ulikuwa mkiristo au ulikuwa muislamu au ulikuwa muumini wa mambo ya kimila,
kwahiyo nani atapata nn itategemea at the...
Jibu ni rahisi xana, Lowasa ndo mtu pekee anayeweza kumhakikishia mkuu wa kaya baada ya kutoka Magogoni, pamoja na mambo mengine huyu anajua Jk amefanya nini na wapi, xo akimweka mtu mwingine tofauti na yeye bac Lowassa na kundi lake hata kama watakuwa inje ya system watabaki kuwa threat kwake...
Mali ulizopata kabla ya ndoa zinabaki kuwa mali binafsi unless expressly muamue kukubaliana ziwe za familia au impliedly mbajikuta mmezifanya kuwa za familia, kwa mfano kabla ya kuoa una nyumba au una furniyures au gari,
then baada ya kuoa unajikuta bila makubaliano yoyote unavifanya vitu hvo...
Watu mtashangaa, mtu pekee anayeweza kuhcakikisha usalama na interest za mkuu ea kaya ni Lowassa, mtu pekee anayeza kulinda maslahi ya watu walioifaidi hii inchi for past ten years ni Lowassa, hawa watu kwss pamoja wako salama kama Lowasa anakua rais, mkuu kaya anajua amecheza michezo gani ya...
Hakuna mwenye nafuu wote tunawadai, Mwakyembe tunamdai hayo aliyoyakalia kuiokoa serikali, Samweli Six kwann alikubali yaletwe baadhi na mengine yaachwe, ila mwisho wa sikuu wakiendelea hv ukweli utafahamika na wote watatu tutawaalani na kizazi chao kwa kutuficha ukweli kwa mda wa miaka 7 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.