Kwa rais makini unateuwa naibu waziri mwingine, bila hata kumwandikia barua yoyote...............povu limtoke.........tabia hii wanayo vijana wengi Lumumba project wao wakiona thread tu wanaamka usingizini kutoa hoja hafifu............unahisi jamaa akipigwa swali la nyongeza ataitikia...
Ha ha ha ha ha hiyo picha mkuu...........wachina wanasema '' a picture is more than a thousand words''.........!mfuko wa shati ana testa ya umeme (ya kazi gani, kucha?meno?macho?)................hatari!
Huyu lukuvi alikuja na mbwembwe bungeni kuwaaminisha waTz kwamba wanafunzi wameonewa, du mimi nilidhani kwa kutumia hizo gredi basi labda Div1,2,3 zingekuwa zaidi ya asilimia 50, matokeo yake zero zimepungua toka 230 thou to 210 thou, inasikitisha hamna jipya sana.................labda niwaulize...
Amesababisha mauaji Somalia, nchi sasam haitawaliki..................! aghhhhhhh anataka kuleta mambo yake huku Tz.........., wakati tunaugulia tembo, ukatili dhidi ya ulimboka na Kibanda sasa kaja kivingine..........sasa ajue ''sauti ya Watu ni sauti ya Mungu'' mwisho wake umefika Dr.Slaa tupo...
Katiba mpya ambayo CDM wanaipigania haitaki mbunge kuwa waziri...............kwanza inawezekana wizara zisizidi kumi, hayo mabo ya JK mawaziri 60 manaibu 30, kila mtu udenda............kwa kuzingatia maslahi ya wananchi CDM itawaacha wabunge wake makini bungeni ili waweze kuisimamia serikali...
Vipi atakuwa na mentor wake wa matusi lusinde..............au mzee wa mbwa (nkamia)....................manake kuna idara mpya imeundwa CCM inaitwa 'Idara ya Matusi na Uzushi' mwenyekiti mwanzilishi mwigulu katibu ni lusinde.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.