Ukitaka uishi kwa Amani duniani, kaa kimya (jifanye huyaoni)
lkn ukitaka uishi kwa pressure na misukosuko, uwe mkweli na mpinga ukandamizaji
[emoji29]hapo utakuta.
lkn kipi bora?
Aheri uwe mkweli hata kufa ukitetea iliyokweli, maana maisha si kitu, ispokuwa utu.
maana mwisho wa binadamu...
hahahhahahaha
kweli njaa mbaya sana!
can you compare?
Wapinzani walienda Ikulu kukutana na Rais sio mwenyekiti wao,
hawa*****wameenda kufanya kikao cha kichama chini ya mwenyekiti wao. [emoji3] [emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.