Nilienda SCOAN.picha zile za mitume 12 wameandika categorically usiabudu hapa. DONT WORSHIP HERE.
KANISA LINGEWEKA KATAZO KUWA WATU WASIABUDU.ILA HATA MAJUMBANI,AU KWENYE ALBUM TUNA PICHA ZA WAPENDWA WETU WALIOTUTANGULIA.
Sasa wee umesema unauzeufu na mazingira ya jeshi halafu unakuja kuuliza watu ambao wengi Ni leymen.
Nadhani wee ungetiririka Sasa huo uzeufu wako.maana tunajua hata Kama wewe siyo mwanajeshi basi uliwauliza wanajeshi wenyewe.akiwemo na mwenyeji wako.
Isaiah 39:6
[6]
Tazama, siku zinakuja, ambazo vitu vyote vilivyomo nyumbani mwako, na hivyo vilivyowekwa akiba na baba zako hata leo, vitachukuliwa mpaka Babeli; hapana kitu cho chote kitakachosalia; asema BWANA.
Kuna Jambo kubwa la kujifunza...hii hulka ipo huku makanisani.mchungaji hataki uhoji mlolongo wa maamuzi .ukihoji procedures tu, unatengwa.
Huenda hekima ZAIDI NI kutii na kujifanya mjinga MAANA anaweza fanya maamuzi mabaya Kama usemavyo hapo juu.
Kwa hoja yako huyo luten aliudhiwa na offence...
Asante Sana robert.wengi hawajakuelewa .mvuto unahitajika hasa wa kiroho.karama na vipawa NI muhimu.watu wanasinzia kwa sababu hakuna neno lilolo hai.Neno linaandaliwa.wachungaji wengi NI wachivu kwa kazi na mishe tu.anakunguta bible.ujumbe anapatia madhabahuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.