Mhhhh! Taarifa nyingi huwa za kweli! hili likitimia nahamia Rwanda kwa miaka hiyo mitano maana chini ya ukawa hawakuwa na chao.
Na Kwa hayo magumia lijamaa litatuyumbisha.
Mungu isimamie ukawa
Machali nakupenda na ni miongoni mwa waha wachache wanaojitambua!
siasa za waha zinafahamika bora usigombee ili watakapo tafunwa na ufisadi uliokithiri miezi miwili tu baada ya uchaguzi mkuu watarudi kukukumbuka.
Kwa fitina nilizoziona nikiwa field hapo utahitaji nguvu ya ziada kupenya japo...
Kujiandikisha kwenye BVR nitaenda mapema lakini kupigia kura katiba ya change siendi oktoba alfajiri pweee kumaliza biashara za ccm!
nitaka nivunje rekodi mwaka huu kuwahi kituo cha mpiga kura!
Jimboni kwake ndio walimtoa kisiasa sasa anahamia twitter kupiga kampeni! ha ha ha haaaaassaaaaaaaaaaa! Wananchii wake kwa kheri maana watakaokuwa huko twitter! hawazidi 10
katika taarifa ya habari ITV saa 2 usiku ilielezwa kuwa chadema imeshinda mitaa 38 na ccm kupitishia kwapani mitaa mitano huku mtaa mmoja ukibakia kura zikiwa zimenatana!
sasa sikubahatika kuona marekebisho haya humu ni kimuhemuhe hoi hoi na shangwe kutaka kumbukumbu ziwe sahihi...
Nami nimeshitushwa na ujenzi wa hoja nyembamba sana! umakini pia ni finyu! eti *degree ya pili ya uzamivu** hapo tena nimeona kuna vumbi! halafu tena digrii ya uzamivu katika nini?
Any way nimejifunza kitu na mimi! KARIBU LAKINI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.