Recent content by N'tembela

  1. N

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Hata mimi nakuunga mkono, miguu, macho, pamoja na masikio!
  2. N

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Mbona uzushi unazidi usiwe kama akina mama!
  3. N

    Zitto akisoma na kuelewa yafuatayo ataishi salama atakapokuwa.

    wewe jamaa ni wa ukweli. lakini chunga sana huo uwongo wako yashje yakakutha aibu maneno yako yasiyo na mashiko.
  4. N

    CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    Hizo ni propaganda uchuro. Waende wakaoge au wakaogeshwe kwa sabuni ya mipapai!
  5. N

    CHADEMA wapendekeza Professor Abdallah Safari Bunge la Katiba

    Maamuzi na mapendekezo yaliyojaa hekima!
  6. N

    Baraza jipya la Mawaziri liweje?

    Uliyeanza malizia mwenyewe. Nani akusaidie huo upuuzi wako!
  7. N

    MJADALA HURU:- Said Issa Mohamed

    Wangejua hivyo vidole vyao vinawapoteza wasingefanya hivyo mkuu!
  8. N

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    Yaan hakuna kukubaliana na chochote! Hiyo kali.
  9. N

    Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

    Tuache kuwa fikra finyu tusiangalie ubara na umaji tujali uwezo wa kuongaza bac. Tusimchague mtu akaharibu kama huyu wa sasa
  10. N

    Hii picha inajaribu kutueleza nini kwenye website ya wizara ya Elimu?

    Bac elimu nayo kumbe ni siasa. Tutakwisha?
Back
Top Bottom