Nimeona kisulisuli cha mama Rwakatare, ukweli kuna haja sasa wanawake nao waanze kutongoza wanaume, waombe kuoana.
Tatizo kubwa hapa, wadada au wanawake wa kiafrika hawapendi kuwa wazi kuonyesha hisia zao, kumbe wanapenda wasemeshwe, watongozwe au watanukiwe kuolewa.
Mama Rwakatare atoe somo...