Recent content by Nteko

  1. N

    Spika Ndugai: Kwenye majadiliano ya mikataba ya kimataifa tusipeleke watu waliopata makarai "O" level "A" level na Chuo kikuu

    Elimu na hekima havihusiani lipo somi zombii hata shauri dogo na mtoto tena katukanwa anashindwa kujieleza huu ushauri wa spika unaonyesha Nchi inaenda mrama Wapobakina Msukuma darasa la saba mbona wanawaendesha hapo bungeni? Ndugai ukomae Mr
  2. N

    Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

    Nijambo la ajabu waziri wa Tamisemi idara yake kujichanganya hadi waziri anatoa tamko ,uchaguzi uendelee kwa wagombea kuendelea ,na mchakato wa uchaguzi Hii ni ajabu ivi wasimamizi wa Mitihani wameisha sema baadhi ya wanafunzi wamekosa sifa za kufanya mitihani kwa vigezo husika au makosa ya hao...
  3. N

    Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

    Marehemu kafa we unamupa asimamie mirathi ,hapo chacha nani kachanganyikiwa ? Mtoa agizo hilo au marehemu we jafo vipi
  4. N

    Kamati Kuu CHADEMA kukutana kwa dharura kesho

    Uchaguzi ususiwe hii ni moja 2 musitegemee kupata hata kiti kimoja
  5. N

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    Tumuombea Mpendwa Raisi kwa Jina LA yesu shetani kule Luangwa tokaaaa---
  6. N

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    Kuna moshi ulitokea Kule Luangwa Raisi akihutubia ,hii jambo LA ajabu Nitoe machache haya yangetokea kule Ufipani sijui! Yaani watu wangeongea mengi ,munaonaa wafipa ! Jamani acheni zambi ya maneno je, Luangwa wale wazee ni wafipa? Siamini sana uchawi ,najua upo kwani umemwa sana Mungu...
  7. N

    Wadau vipi kisulisuli wangapi wamepata hao

    Dada zetu Tunaona mengi zama hizi
  8. N

    Kuhusu kisulisuli kuna somo moja

    Kunatatizo katika,jamii,wanawake bado wanasoni za kutongoza,hii ya kisulisuli ni saikoloji ya mama Lwakatale ili wanze kujitokeza waache aibu
  9. N

    Kuhusu kisulisuli kuna somo moja

    Nimeona kisulisuli cha mama Rwakatare, ukweli kuna haja sasa wanawake nao waanze kutongoza wanaume, waombe kuoana. Tatizo kubwa hapa, wadada au wanawake wa kiafrika hawapendi kuwa wazi kuonyesha hisia zao, kumbe wanapenda wasemeshwe, watongozwe au watanukiwe kuolewa. Mama Rwakatare atoe somo...
  10. N

    Maeneo yanayoongozwa na CHADEMA wananchi wagoma kujiandikisha kupiga kura!

    Uongo ukikomaa inakuwa zambi we vipi hoja za kipumbavu? Chadema ndio wanaongoza serikali?
  11. N

    Upinzani upo kwenye mioyo ya watu

    Ukweli ni kuwa kumbe Punda unaweza kumulazimisha kutembea ila huwezi mulazimisha kunywa maji. Watu huwa wana lugha za mioyoni Kweli watanzania wanasita kujiandikisha kunani? Hali hii inaweza zidi mwakani ,uchaguzi mkuu watu wakipata vitambulisho vya utaifa,vya kupiga kura ,hawatajali...
  12. N

    Ofisi ya Rais Mstaafu Kikwete yasikitishwa na habari zinazoenea, yasema kuwa hotuba ya Kikwete haikumlenga mtu

    Hofu ya hiyo ofsi nini kama alicho sema wacha waTanzania watoe tafusiri wao yy alisha Sena Jk acheni undumilakuwili
Back
Top Bottom