Nimeona kisulisuli cha mama Rwakatare, ukweli kuna haja sasa wanawake nao waanze kutongoza wanaume, waombe kuoana.
Tatizo kubwa hapa, wadada au wanawake wa kiafrika hawapendi kuwa wazi kuonyesha hisia zao, kumbe wanapenda wasemeshwe, watongozwe au watanukiwe kuolewa.
Mama Rwakatare atoe somo kwa wanawake, waanze kuwaendea wanaume na kuwataka sio hilo suala la kisulusuli. Wanahitaji somo la kutongoza basi waachane na mila za kiafrika zimefanya mwanamke awe duni, anapenda mwanaume ila anashindwa kuanza kumtongoza dume. Sasa wanatumia mgongo wa kisulisuli aisee!
Msingi wa kuoana ni kupendana hivyo wanawake waanze kuwasimamisha wanaume na kutoa dukuduku zao, hapo wanawake wengi wataolewa. Hizi mila kuwa nikimwambia ataniona malaya zimepitwa na wakati.
Licha ya ukweli wa imani za dini, ni kuwa Rwakatare anawafundisha self confidence ili wanawake wawa-approach wanaume bila soni.
Wanawake tafuteni wanaume watongozeni akikataa achana naye utakuwa umetimiza wajibu, kuchagua unachopenda naye akikupenda utakuwa umepata. Hii ya kusubiri sio wakati wake.
Naona upepo utawaletea majanga, kutaka kutimiza haja za kuolewa bila chaguo. Hii hatari.
Ndoa ni maridhiano ya watu wawili kwa kufunua upendo wao kwa kila mmoja.
Tatizo kubwa hapa, wadada au wanawake wa kiafrika hawapendi kuwa wazi kuonyesha hisia zao, kumbe wanapenda wasemeshwe, watongozwe au watanukiwe kuolewa.
Mama Rwakatare atoe somo kwa wanawake, waanze kuwaendea wanaume na kuwataka sio hilo suala la kisulusuli. Wanahitaji somo la kutongoza basi waachane na mila za kiafrika zimefanya mwanamke awe duni, anapenda mwanaume ila anashindwa kuanza kumtongoza dume. Sasa wanatumia mgongo wa kisulisuli aisee!
Msingi wa kuoana ni kupendana hivyo wanawake waanze kuwasimamisha wanaume na kutoa dukuduku zao, hapo wanawake wengi wataolewa. Hizi mila kuwa nikimwambia ataniona malaya zimepitwa na wakati.
Licha ya ukweli wa imani za dini, ni kuwa Rwakatare anawafundisha self confidence ili wanawake wawa-approach wanaume bila soni.
Wanawake tafuteni wanaume watongozeni akikataa achana naye utakuwa umetimiza wajibu, kuchagua unachopenda naye akikupenda utakuwa umepata. Hii ya kusubiri sio wakati wake.
Naona upepo utawaletea majanga, kutaka kutimiza haja za kuolewa bila chaguo. Hii hatari.
Ndoa ni maridhiano ya watu wawili kwa kufunua upendo wao kwa kila mmoja.